Pep Guardiola amekamilisha talaka kwa kupoteza Jumba na Nusu ya utajiri wake, mtalaka adai Pep alikuwa bize na mpira

Jamani mwenye connection na mkewe anajulishe tafadhali, nina offer ya togwa na kiti moto hapa.
 
Ndio maana CR 7 hataki kumuoa Georgina anamlipa mshahara tu kama mama mlezi wa watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…