Pep Guardiola na Mapinduzi ya Soka

Ili uucheze huo mpira unahitaji watu sahihi sana,
Sharp, quickly, wanaonyumbulika, na ball brain
Ndio maana wachezaji weusi wanamuona pep mbaguzi
Asee mkorea tafadhali pitia faster hapo kwa Mangi uagizie chochote nitapitia kulipa baadaye na range yangu
 
Yaan unataka Pep awatumie kina Phil Jones na wavunja kuni wengine ?

Kuhusu kutumia pesa mnamuonea ,dirisha hili man u ,Chelsea, forest wamemwaga pesa kuliko Yeye ,Cha ajabu anawaacha mbali kimbinu
Sasa jamani Nunes na Antony eti 100 million usd
 
Safi mwanawane. Ila hapo mwisho umetudanganya. Overload haitaji wachezaji maalum. Overload ni kwamba unakuwa na wachezaji wengi kuliko mpinzani wako kwenye eneo ambalo mpira upo. So that said it is not related in anyway to the quality of the player.


Haya sasa twende nddani zaidi ili uelewe somo na peps ideas. Kwanza kabisa katika suala la kushambulia tunatafuta vitu viwili vikuu:

1) quantitative superiority ambayo ndio wewe unazungumzia hapo i.e. overload.
2) qualitative superiority. Hapa nina maanisha kwamba namweka mchezaji wangu mzuri dhidi ya mchezaji dhaifu wa mpinzani. Mfano naweza muweka winger wangu mwenye speed dhidi ya fullback ambaye najua hana speed au my tall striker dhidi ya centreback ambaye hayupo gud aerialy.

Tukienda mbali zaidi ni kwamba timu inapo miliki mpira kuna vitendo vikuu vinne ambavyo watafanya:

1) passing the ball
2) protecting the ball (tulinda mpira)
3) providing support (kumpa usaidizi mchezaji mwenye mpira)
4) pinning (kuondoa usaidizi kwa beki ambaye anakaba)

Hili la 4, pinning lina uhusiano wa moja kwa moja na suala la overload unalozungumzia.
Bila kuubana mstari wa mwisho wa wapinzani inakuwa ngumu kuweza tengeneza hizi overloads. Mfano mstari wa mabeki wanne wanaweza kubanwa na washambiliaji wawili au watatu. Depends na kocha anataka vipi. Lakini tunapendekeza ubane mstari wa mabeki kwa idada pungufu ya wale mabeki. So kama mabeki wapo watano basi wee ubane huo mstari kwa wachezaji wanne. Always one less player than the number of defenders!

Matokeo yake ni kwamba tayari nakiuwa na mtu mmoja ambaye yupo huru (free player) ambaye anaweza kutumika kufanya overloads sehemu nyingine ya uwanja. Pia kumbuka pia kwamba pinning inafanywa sio tuu kwa mstari wa mwisho wa mabeki, unaweza pia fanya kwenye mstari wa midfielders.

Mwisho tunakuka katika suala uliozungumzia kuhusu builup play. Anachotafuta katika first phase ni 'clean progression' nikimaaniaha kwamba nataka kupata mchezaji huru atoke na mpira bila budha yoyote toka kwa mpinzani. Ndio hiyo umesema hapo kama nacheza na mpinzani mwenye forwards wawili basi najaribu progress the ball na mabeki watatu nikijua kuwa wakixhekecha mpira vizuri basi mmoja atatoka na mpira akiwa huru.

Sasa huyu mchezaji huru ndio atajenga overload kwenye eneo la midfield. Lakini ili tuendelee kuwa na mchezaji huru katika kila hatua kuelekea goli na upinzani ndio ile comcept ya 'pinning ' inapo kuja.

So overloads zinatemgenezwa kwa kuwa na uelewa wa namna gani naweza kuibana mistari ya wapinzani kwa mpangilio maalum wa wachezaji wangu na pia kuhakikisha napata 'clean progression' kwenye first phase ya buildup.

Nimependa hii topic, very interesting. Haya ndio mambo ya kuchambua kwa kina sio kupiga porojo za wachambuzi wetu. Let me leave u with this:

Tactics is the intelligent deployment of players and their movement within than deployment.
 
Labda wewe ni Edo ama Dk liki
Edu mchambuzi anae endana na wakati
Edu anajua sana kuchambua mpira, kutoa hints. Kukupa maoni
Edu anachambua soka ili u-enjoy

Dr lik anaujua mpira, mchambuzi mzuri hasa zile games ngumu ngumu
Ikifika half time anakupa real analysis ya game 90% perfectly

Mimi ni mkorea wa jf mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wachambuzi wengi wa kibongo wanadhani kuuadisia matukio ya kiwanjani ndio kuuchambua mpira kitu ambacho sio kwel lkn umeonyesha mfano wa kuchambua mpra inavyobidi iwe. SAFI
 
Mpira sio kufundisha tu kiongozi unahitaji pia watu sahh
Pep ukimpeleka everton atahitaji watu sahh na timu itaanza kubadilika
Mtu kama maguire wa man u 😆 ntaendelea kesho.......
 
Mkuu naomba mnipe mwanga wa kichambuzi kwamba kwanini Pep anapigwa mara nyingi tu na Klop.. Tactics za Pep zinafeli wapi anapokutana na Klop?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…