NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
BADO KUMUITA MOURINHO MUHUNI NI KUKOSEA ADABU FANI ELIMU AU FANI YEYOTE HUPIMWA NA MAFANIKIO.kiboko yake kivipi? Rekodi zitakumbukwa kwa mataji waliyoshinda kama klopp lengolake ni kumfunga tu ila sio kuchukua vikombe basi akiondoka tu liver na rekodi yake imesahauliwa.