Wewe ni team gani Kwanza kama ni Manchester United tunajua ni team ya mashabiki wasiojua mpiraWe Pimbi fatilia uwepo wa Porto FC miaka ya 2002 ikiwa inacheza fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE na Man Utd ilikuwa ina Wachezaji gani kiubora na hata malipo ya mishahara yao kisha urudi kunishukuru kukupatia maarifa usiyoyajua ila unakaza tu fuvu lako sababu ya mahaba niue kwa Kiparangoto wako huyo [emoji1787]
Zari tu kama kwa dimateoKwani alipokuwa 2002 na Porto FC ilikuwa na ukubwa gani hadi kabeba nayo UEFA CHAMPIONS LEAGUE mbele ya timu kubwa Man Utd? Tuanzie hapo kwanza.
Tofauti na Chelsea wachezaji wengi hawajapitia hata pre season na kucheza pamoja na team imepitia mabadiliko katikati, ipitie Chelsea ya nyuma hapa ilikuwa vipi. Guardiola mpe Man U ile ya kina Maguire na hawa Glazers halafu utanambia. Ila all in all, jamaa anajua sanachelsea ana bench la shi ngap?
Mlilazimishwa kununua magwaya?Tofauti na Chelsea wachezaji wengi hawajapitia hata pre season na kucheza pamoja na team imepitia mabadiliko katikati, ipitie Chelsea ya nyuma hapa ilikuwa vipi. Guardiola mpe Man U ile ya kina Maguire na hawa Glazers halafu utanambia. Ila all in all, jamaa anajua sana
Hajacheza BarcaNasri alicheza Barca?
Mkuu we ni shabiki wa team gani? Ku flop kwa wachezaji ni jambo geni kwako? Salah huyu wa Liver ukiambiwa aliflop pale Chelsea utashangaa?Mlilazimishwa kununua magwaya?
🚮🚮🚮🚮🚮Ila we mwenye mahaba niue kwa Kiparangoto huna matatizo kiakili?
Kweli nyani haoni kundule [emoji847]
Magwaya sio flop hajui kabisaMkuu we ni shabiki wa team gani? Ku flop kwa wachezaji ni jambo geni kwako? Salah huyu wa Liver ukiambiwa aliflop pale Chelsea utashangaa?
Wa Man U labdaMagwaya sio flop hajui kabisa
Next season hatachukua! Weka kumbukumbu ya hoja yangu.Huyu jamaa epl ataichukua mpaka atakapoona inatosha
Unaota akichukuajeNext season hatachukua! Weka kumbukumbu ya hoja yangu.
Ndo hivyo mkuu wamemnyima Pep tuzo ya kocha bora wa mwezi msimu wote huu jionee mwenyewe hapoHebu kua serious Basi[emoji15]
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Basi kumbe hata Pep kipara naye ana zali tu mwaka huu 2023 [emoji1]Zari tu kama kwa dimateo
Pep kaichukua City chini ya Kocha Pellegrin akiwa kabeba EPL na kaingia nusu fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE akina Aguero wakiwa wa [emoji91].City ilikuwa na ukubwa upi wa kuinyanyasa Madrid? Wakati wapo kina Mancini na pelegrin?
Pep katengeneza system
We wasema Mke wangu kipenzi cha roho yangu [emoji38]Huna point mdada
Kama wewe ni mshabiki kweli wa Manchester United usitumie hilo neno.Mimi ni shabiki wa man u ila namkubali pep
Watajua wenyeweKama wewe ni mshabiki kweli wa Manchester United usitumie hilo neno.
Scousers walikuwa wanatumia hilo neno kama dhihaka ya ajali ya 1958.
psg je mbona hawafanikiwi?Budget ya clubs anazofundisha huwa unaipitia? Ji kweli ni kocha bora sana, ila nae anakuwa na budget kubwa sana. Hata jana Mourinho alisema, una bench lenye 200m, wakati huo upo na quality ya hali ya juu ndani ya uwanja. Huwezi kulinganisha na hawa wanaopewa limited budget.