Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

Mkuu mimi huwa nahama na Pep guardiola kila anakokwenda atanikuta nimetangulia .

Kiukweli dunia hii kwa sasa hakuna kocha bora anayefundisha amazing football kama mwamba niko naye hadi atakapoamua kupumzika kufundisha soka.
 
Asa unataka kocha atumie wachezaji asio wataka?

Ulimjua Alvarez au Akanji before kuja city au benardo Silva!?
 
Wananchi atatufaa huyu NABI akizingua.
 
Umewahi kupitia budget ya PSG mbona hawana lolote la maana kwenye mashindano ya kimataifa ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hoja ni kuwa mafanikio ni matokeo ya uwekezaji na mwalimu mzuri. Chelsea kwa sasa wamewekeza vizuri kwa wachezaji wazuri ila bado kumpata mwalimu bora. Kuna makocha waliodhihirisha kuwa hata kwa bajeti ndogo, wanaweza kupata matokeo.Pep bila bajeti kubwa ni wa kawaida sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ancelloti alipokuwa Everton alikuwa anapigwa na Guardiola nje ndani, sema jamaa aliweza fanya Everton kuwa katimu ka ushindani ila mfumo wa Carlo ule ni WA darasani, ila wa Pep sio wa darasani, ile ni alien level .
Pep ukimpa Everton itashuka daraja.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…