Pep amekaa Bayern misimu mingapi bila CL, amekaa misimu mingapi man City bila CL?Tangu fergi amestaafu mbona man UTD imetumia mabilioni kibao ila hamna kitu[emoji4]
Mourinho ndio alivunja utawala wa Barcelona Hispania, Mourinho kashinda makombe yote. Hata kwa timu ambazo hazina pesa kama Roma, bado makombe anabeba tu.Uyo morinyo akae kimya TU mpira ushamshinda,yeye mbona pia kafundisha club kubwa zenye bajeti kubwa ila kimafanikio hamfikii pep hata nusu
Unamzungumzia mudi?Kuwa kocha bora haina maana upewe timu yoyote ile
Pep kajitahidi sana kwa bajeti anayopewa kupata wachezaji sahh
Kuna kocha mmoja katumia 100mill kwa kibaka mmoja asiye na msaada kwenye timu [emoji482]
Bench la chelsea njee ni shi ngap?Nimekutafunia jibu kuwa pesa za Chelsea FC zimezingatia FFP ndiyomaana husikii akihusishwa na malalamiko wala mashtaka yoyote maana asilimia kubwa ya Wachezaji waliosajiliwa wamepewa mikataba mirefu sana.
Sasa hilo Kipara lenu mara ngapi lililalamikiwa na FIFA hadi lilishitakiwa kwa ubadhirifu wa pesa kupita kiasi hadi lilikata rufaa?
Je mwaka huu March halikulalamikiwa na kuwekwa chini ya uchunguzi na FA kwa kutofata na kukidhi vigezo vya sheria za FFP kwa makosa makosa zaidi ya 100?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Binafs morinyo nu conservative Sana,anafundisha mpira wa kizamani (too defensive) na hayuko flexible kubadilika kimbinuKwenue European stage, Pep ana UCL ngapi ukilinganisha na Mourinho?
Mudi wa wapiUnamzungumzia mudi?
Mudryk alietoka shaktar[emoji4]Mudi wa wapi
Mimi nazungumzia epl hapo ni mpaka aondoke mwenyewe atasumbua sanaAmekaa misimu saba pale man City ndio anainusa CL, hype kubwa tu mnampa ila kwa budget anayopewa hana uspesho kivile.
10hag na antony wakeMudryk alietoka shaktar[emoji4]
Man City wana makosa 115 ya FFP. Uchunguzi bado unaendelea.Kama ndivo FA ,wanasemaje
Baadhi ya wachezaji wakubwa ambao Pep aliwapiga chini Ronaldinho, Deco, Yaya Touré, Zlatan Ibrahimović, Eto'o, Fabregasacha kuongea ovyo mkuu. hebu taja hao wachezajoi wapya aliowasajili kusuka kikosi.
Mou hiyo pesa katumia kusajili 50+ players.Mbona kocha anaeongoza kwa kutumia pesa ni Mourinho
Nilichoona humu watu wamejificha kwenye kichaka cha Champions League. Kama issue ni pesa Chelsea kaspend millions lakini cheki wanavyohangaika. Pep apewe maua yake.Kuwa kocha bora haina maana upewe timu yoyote ile
Pep kajitahidi sana kwa bajeti anayopewa kupata wachezaji sahh
Kuna kocha mmoja katumia 100mill kwa kibaka mmoja asiye na msaada kwenye timu 🍻
Pia gusia Barcelona ya bora ya Pep iliyoleta fainali na Inter ya Mourinho.Baadhi ya wachezaji wakubwa ambao Pep aliwapiga chini Ronaldinho, DecoYaya Touré, Zlatan Ibrahimović, Eto'o, Fabregas
Akamleta Pedro, David Villa, Mascherano na Busquets, akamfanya Messi acheze kama fake 9
Kama haitoshi akamleta Dani Alves akamrudisha Piqué pae Barça kutokea United
Achilia mbali ubora wa uchezaji ile possession na pressing mpaka kwenye 18 ya adui
Muulize Fergusson hatasau pale Wembley mwaka 2009 fainali ya UEFA lilipigiwa mbungi mpaka mzee akawa anatetemeka hajui afanye nini
Watu wana wivu tu wakiwemo FA kama pesa hata Man U Chelsea wote big spenders. Nimeona sehemu watu wanaomba Pep abebe UEFA awaachie ligi yao. Pep mwenyewe kasema bado yupo pale City ataendelea kuwanyoosha kwa kubeba back to back EPL.Nakazia,Watu waache wivu bhana
Pesa haiwezi kua mbadala wa makombe[emoji4]
Sio makosa ,SEMA tuhuma ,kama nimakosa angekuwa ashashitakiwaMan City wana makosa 115 ya FFP. Uchunguzi bado unaendelea.
Ha ha ha....kweli aiseeWatu wana wivu tu wakiwemo FA kama pesa hata Man U Chelsea wote big spenders. Nimeona sehemu watu wanaomba Pep abebe UEFA awaachie ligi yao. Pep mwenyewe kasema bado yupo pale City ataendelea kuwanyoosha kwa kubeba back to back EPL.
Mtaje tu ni EtH. Pep kila timu anayoenda kuna unlimited funds. Kuna makocha wengi tu Europe wakipewa budget ya Pep watafanya anachokifanya kwasababu yeye kazi yake kubwa ni kuchukua wachezaji waliopikwa na kuwakusanya.Kuwa kocha bora haina maana upewe timu yoyote ile
Pep kajitahidi sana kwa bajeti anayopewa kupata wachezaji sahh
Kuna kocha mmoja katumia 100mill kwa kibaka mmoja asiye na msaada kwenye timu 🍻