Mimi nilikua namchukia kwa ishu ya Etoo kipindi kile. Ila baadaye nikaona sawa tu watu weusi ndiyo tatizo. Toka hapo nimeamua nimpende tu kiparangoto.Mkuu mimi huwa nahama na Pep guardiola kila anakokwenda atanikuta nimetangulia .
Kiukweli dunia hii kwa sasa hakuna kocha bora anayefundisha amazing football kama mwamba niko naye hadi atakapoamua kupumzika kufundisha soka.
Mkuu unaongelea UEFA as if Pep anazingua sana kwenye UEFA kitu ambacho si kweli.kitu ambacho unajaribu kukifumbia macho ni kuwa, PEP amespend millions kuwa na timu aliyonayo sasa, anakwenda mwaka msimu wa 7 bado anaitafuta Champion League, Sasa tizama spending ya Carlo toka awe kocha wa Real Madrid na mafanikio aliyoyapata ndio utaona utafauti wao.
Post 64 inakuhusu ipitie upya upate jibuNilichoona humu watu wamejificha kwenye kichaka cha Champions League. Kama issue ni pesa Chelsea kaspend millions lakini cheki wanavyohangaika. Pep apewe maua yake.
UEFA walishawatuhumu City na hawakuambulia kitu hata hao FA hawatapata kitu. Endeleeni kuota tu mkidhani wale wote mliomaliza wa pili mtapata ushindi wa mezani kwa msaada wa FFP .City won't be found gulty hao FFP watagonga mwamba tu. Man U enzi hizo mmetawala EPL miaka na miaka na palikua hakuna FFP enzi yenu imekwisha huu ni wakati wa ufalme wa City.Siyo wivu Man City wamevunja sheria za FFP huku kocha wao Pep akilalamika kuwa hakujua kama City nyuma ya pazia wanafanya mambo kwa kuvunja sheria. Wakikutwa na hatia, rungu zito sana litawapiga: kushushwa daraja au kuvuliwa ubingwa miaka yote waliyovunja sheria za FFP.
Mkuu unaongelea UEFA as if Pep anazingua sana kwenye UEFA kitu ambacho si kweli.
Pep ana UEFA mbili sawa na mnayemuita kocha bora wa muda wote (SAF) and he's just at the mid his career.
Pep UCL ameingia back to back UCL semis in consecutive years. Ameingia fainali mbili ndani ya miaka mitatu. Ana longest unbeaten run at home kwenye UCL kwa timu za uingereza. Cime on mkuu kama unapima uwezo wa kocha kwa cup matches na sio marathon ya ligi basi utaniambia kuwa Di mateo au Zidane ni bora kulio SAF.
Swali unafikiri Mourinho ukimpa Hulk City anaweza shinda EPL au Espanyol anaweza shinda La Liga?. Huyo Mou kaenda Tot kafurushwa. Anaweza shinda EPL na Crystal Palace?Mou mtoe kwenye hii orodha, alishadhihirisha mara nyingi hata kwa bajeti ya kawaida anaweza kupata vikombe.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Pep hana UCL? kaingia fainali ngapi na nusu fainali ngapi ukilinganisha na Mou au SAF? unaongelea UCL kama vile pep anatokaga makundi vile. Unashindwa kuelewa kuwa Cup competition inahisisha pia na bahati. Mafanikio pima kotekote usiegemee kwenye UCL tu. Pepe ana UCL 2 sawa na SAF na ndio kwanza yupo katikati ya Career yake unasemaje anazingua UCL.sasa kama hutaki kipimo cha mafanikio kuwa ndio ubora unataka kipimo gani chengine? wangapi wanatimuliwa timu zao kwa kufika hizo semi finals?
Umesahau Mourinho alibeba ndoo ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na timu gani iliyo na hadhi ya Wachezaji wa kawaida sana kimasilahi lakini aliishangaza dunia ndipo akaletwa Chelsea FC na Tajiri Abrahamovich?Swali unafikiri Mourinho ukimpa Hulk City anaweza shinda EPL au Espanyol anaweza shinda La Liga?. Huyo Mou kaenda Tot kafurushwa. Anaweza shinda EPL na Crystal Palace?
Achana na huyo kichaaMkuu unaongelea UEFA as if Pep anazingua sana kwenye UEFA kitu ambacho si kweli.
Pep ana UEFA mbili sawa na mnayemuita kocha bora wa muda wote (SAF) and he's just at the mid his career.
Pep UCL ameingia back to back UCL semis in consecutive years. Ameingia fainali mbili ndani ya miaka mitatu. Ana longest unbeaten run at home kwenye UCL kwa timu za uingereza. Cime on mkuu kama unapima uwezo wa kocha kwa cup matches na sio marathon ya ligi basi utaniambia kuwa Di mateo au Zidane ni bora kulio SAF.
Unataka Mourinho apewe timu za kawaida mara ngapi ikiwa 2002 alibeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE na Porto FC ambayo ilikuwa na Wachezaji wa gharama za kawaida sana?Umesahau Mourinho alibeba ndoo ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na timu gani iliyo na hadhi ya Wachezaji wa kawaida sana kimasilahi lakini aliishangaza dunia ndipo akaletwa Chelsea FC na Tajiri Abrahamovich?
Pep kipara bila pesa hana ubora wowote, fatilia mafanikio yake alitembelea klabu zipi haswa na maranyingi anazikutaga ziko on [emoji91].
Kwangu Ancelloti, Klopp, Mourinho na Conte ni Makocha bora mara 10 zaidi ya Kipara.
Sent from my CPH2387 using
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kaondoka Tottenham ikiwa fainali, mpaka leo haina mwelekeo.Swali unafikiri Mourinho ukimpa Hulk City anaweza shinda EPL au Espanyol anaweza shinda La Liga?. Huyo Mou kaenda Tot kafurushwa. Anaweza shinda EPL na Crystal Palace?
Pep hana UCL? kaingia fainali ngapi na nusu fainali ngapi ukilinganisha na Mou au SAF? unaongelea UCL kama vile pep anatokaga makundi vile. Unashindwa kuelewa kuwa Cup competition inahisisha pia na bahati. Mafanikio pima kotekote usiegemee kwenye UCL tu. Pepe ana UCL 2 sawa na SAF na ndio kwanza yupo katikati ya Career yake unasemaje anazingua UCL.
Kwa hio Porto ni timu ndogo?Unataka Mourinho apewe timu za kawaida mara ngapi ikiwa 2002 alibeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE na Porto FC ambayo ilikuwa na Wachezaji wa gharama za kawaida sana?
Weka hapa sasa timu ndogo ya Pep kupata nayo mafanikio kabla hajafundisha Barcelona FC ujione unavyopumbzwa na mahaba badala ya akili sahihi [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kabla yake Tot ilifika fainali UCL yeye Mou kaifanyia ninI Tot?Kaondoka Tottenham ikiwa fainali, mpaka leo haina mwelekeo.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Guardiola msimu wake wa kwanza City alipewa €216m. Msimu uliofuata akapewa €317m.Bruh bajeti ya man u man city hazipishani sana
Pep is a fraud. Na hii fainali na Inter aki-overthink yatamkuta kama yale ya Chelski ya 2021. Kocha bora fainali ya UCL hauanzi na dm!!Guardiola msimu wake wa kwanza City alipewa €216m. Msimu uliofuata akapewa €317m.
Solskjaer msimu wake wa kwanza United alipewa €234m. Msimu uliofuata akapewa €83m.
City wamiliki wake ndani ya misimu 2 ya Pep wali-invest €533m.
Yani budget aliyopewa Pep msimu wake wa 2 (aliobeba ubingwa) ni budget ya misimu 2 aliyopewa Solskjaer.
Msimu wa 3 na wa mwisho kwa Solskjaer kusajili akapewa €142m hata ukijumlisha bado haifikii pesa aliyopewa Pep ktk misimu 2 na ukumbuke Solskjaer alipewa kikosi kibovu zaidi post Ferguson.
Msimu wa 3 Pep alipewa €78m. Ukijumlisha ni €611m. Msimu wa 4 Pep akapewa tena €166m.
Katika misimu 4 Pep katumia €777m. Huo ni wastani wa €194.25 kila msimu, ambayo hiyo pesa inaweza kusajili wachezaji 3 wa €64.75 kwa msimu na ktk 4 seasons ni 12 players. Na baada ya miaka 7 ndiyo tumeona matokeo ya huo uwekezaji, sasa hivi wanaoanza na wanaokaa bench Man City wana uwezo sawa/unaokaribiana.
Kwenye misimu 7 Pep katumia zaidi ya €1.2B
Sasa niambie ni top manager gani Europe akiwekewa huo mzigo kwa misimu 7 mfululizo hawezi kufanya anachokifanya Pep?
Kazi alioifanya Ferguson kwenye Soka ni kubwa sana. Guardiola hata afundishe miaka 50 inayokuja hataifikia.Mkuu unaongelea UEFA as if Pep anazingua sana kwenye UEFA kitu ambacho si kweli.
Pep ana UEFA mbili sawa na mnayemuita kocha bora wa muda wote (SAF) and he's just at the mid of his career.
Pep UCL ameingia back to back UCL semis in consecutive years. Ameingia fainali mbili ndani ya miaka mitatu. Ana longest unbeaten run at home kwenye UCL kwa timu za uingereza. Cime on mkuu kama unapima uwezo wa kocha kwa cup matches na sio marathon ya ligi basi utaniambia kuwa Di mateo au Zidane ni bora kulio SAF.
Hatuangalii tu kushinda treble tunaangalia ubora wa kikosi hata baada ya kushinda hiyo treble. Angalia rekodi yake mpaka anaondoka Barça ikoje.Pep alishinda treble bila ya hata ya wote hao uliowataja, hao walikuja baada ya mafanikio. Pep alimsijaili Alvaes tu katika msimu wa kwanza. ambao alishinda treble. hao uliowataja walikuja miaka ya mbele.
na kwa kukusaidia tu, Zlatan, Fabregas nao waliletwa na Pep
Ila cha ajabu mara 2 kwenye fainali za UEFA Pep alimfundisha mpira unachezwaje mzee Ferguson mwaka 2009 na 2011Kazi alioifanya Ferguson kwenye Soka ni kubwa sana. Guardiola hata afundishe miaka 50 inayokuja hataifikia