Umesahau Mourinho alibeba ndoo ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na timu gani iliyo na hadhi ya Wachezaji wa kawaida sana kimasilahi lakini aliishangaza dunia ndipo akaletwa Chelsea FC na Tajiri Abrahamovich?
Pep kipara bila pesa hana ubora wowote, fatilia mafanikio yake alitembelea klabu zipi haswa na maranyingi anazikutaga ziko on [emoji91].
Kwangu Ancelloti, Klopp, Mourinho na Conte ni Makocha bora mara 10 zaidi ya Kipara.
Sent from my CPH2387 using
Sent from my CPH2387 using
JamiiForums mobile app