February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Wachezaji wa Ureno Pepe na Bruno Fernandes wanamlaumu Messi na Argentina kwa kufungwa jana.
Wanasema kuwa FIFA inamuandalia Messi kombe la dunia kwa lazima na ndio maana refa wao aliwekwa wa Argentina aliyekuwa anaipendelea Morocco.
My take: Hawa wametumwa na binadamu mwenye wivu mwingi kuliko kipaji aitwaye CR7
Wanasema kuwa FIFA inamuandalia Messi kombe la dunia kwa lazima na ndio maana refa wao aliwekwa wa Argentina aliyekuwa anaipendelea Morocco.
My take: Hawa wametumwa na binadamu mwenye wivu mwingi kuliko kipaji aitwaye CR7