Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau Italy yeye hakwenda kabisaSio kosa lao, maumivu ya kutolewa ndio yanawasumbua, wapewe pole tu.
Ubelgiji alitoka, Ujerumani alitoka, Hispania akatoka, Brazil nae akatoka, wao nani wasitoke?!
Siku zote bingwa atabaki mmoja tu, kama ikitokea wakawa Argentina basi watakuwa wamestahili, hao jamaa wasilete majungu.
Wanashangaza zaidi kumchukia Messi wakati wao walimuweka Ronaldo benchi..!!
Ajabu hii!!Kutolewa wametolewa na Morocco kulaumiwa ana laumiwa Messi.
Jamaa umenifanya nimecheka kifala fala sana.Mpaka jirani kakasirika hapa...hahhahaahaahahaWapewe flash yenye game nzima waangalie halafu waseme ni wapi refa aliwaonea
Haha sasa pepe ni beki, anamchukia Lapulga wa nini?Cwezi shangaa hasa kwa huyo mapepe na christina namna walivyokuwa wakimchukia LAPUGA pale walipokutana ktk ELCLASICO
Wachezaji wa Ureno Pepe na Bruno Fernandes wanamlaumu Messi na Argentina kwa kufungwa jana.
Wanasema kuwa FIFA inamuandalia Messi kombe la dunia kwa lazima na ndio maana refa wao aliwekwa wa Argentina aliyekuwa anaipendelea Morocco.
My take: Hawa wametumwa na binadamu mwenye wivu mwingi kuliko kipaji aitwaye CR7View attachment 2443268View attachment 2443269
Uyo refa jana kachezesha poa sana wangepewa yule refa aliyecheza Argentina na Holland wangesemaje??
Argentina atafungwa na Croatia, Ufaransa atafungwa na Morocco, hatimaye Croatia atafungwa na Morocco fainali!!
Argentina akitoboa kwa Croatia niiteni Mwigulu nimekaa pale.
MwiguluArgentina akitoboa kwa Croatia niiteni Mwigulu nimekaa pale.
Mwigulu mwenyewe.Mwigulu
MWIGULUUUUUUU!!!!!Argentina akitoboa kwa Croatia niiteni Mwigulu nimekaa pale.
Mwigulu mwenyewe.