Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile hazina sukari ndio maana ladha yake inakuja kisha inakataaHawa Pepsi wajitafakari na soda zao za BIG aaisee hazina radha au mimi tu jamani au wanatumia maji ya wapi? AU wanachanganya na maji ya Dodoma
na togwaHaya wanaume wa dar kutaneni mjadili utamu wa soda ya pepsi.Wanaume wa mkoani acha tukomae na mzansi liquor.
Jeshini wanasema ''utamu unausikilizia kisogoni'' mnapopewa uji usio na sukari ya kutosha.Zile hazina sukari ndio maana ladha yake inakuja kisha inakataa
Peps big, aiseee hakuna soda kuleHawa Pepsi wajitafakari na soda zao za BIG aaisee hazina radha au mimi tu jamani au wanatumia maji ya wapi? AU wanachanganya na maji ya Dodoma
Mkuu hizo light na zero sugar ndio hatari bora za kawaida. Wataalamu wamethibitisha bora usinywe kabisa kama wewe ni mgonjwa wa kisukari.Ni kweli hizo soda zipo kama pepsi lite zinawafaa wenye kisukari hazina utamu kama zile ndogo.
Sasa si wasambaze kidogo!!?wanapoleta mikreti kibao utazani mkoa fulani wote wanakisukari!!,juz niliagiza soda Pepsi baridi,mhudumu akaniletea huo m-big nikamwambia rudisha huo mchupa,bola ninywe maji tu ya kawaida ,ijulikane moja sio huo msoda,maji sio maji ,soda sio soda.Hizo n kwa ajil ya wagonjwa wa kisukari mkuu
Usilalamike mkuu zako n zile ndogo
wanatutafutia maradhi hawa!!Kama wameanza kutunywesha artificial sweeteners ,si maradhi hayo wanatupatia .Likely the are using SACCHARIN SODIUM which is an Artificial Sweetener in place/instead of normal sugar obtained from Sugarcane.
It is considered safe for human consupmtion based on recommended allowances.wanatutafutia maradhi hawa!!Kama wameanza kutunywesha artificial sweeteners ,si maradhi hayo wanatupatia .