Beki wa kasi awe anakimbia kutoka wapi kwenda wapi? Maana umbali anaosimama beki wa kati hadi golikipa ni mdogo sana wala hauhitaji mbio. Watu wamekariri tu beki mwenye kasi, ukiuliza matumizi ya hiyo kasi jibu hawanaAmekuja kuchukua nafasi ya Morrisson.......japo shida ya mikia ni angalau wapate beki mwenye kasi kidogo......
Kila anayewafunga mnamsajili kuanzia Morrison,Kaheza,Miqueson na sasa Chikwende
Ilibadilisha lini huo mfumo wa kisasa?Sijui kwann usajili wa Simba haufanyiki kisasa.Timu imebadilisha mfumo wa uendeshaji ila mambo ni kama zamani tu.Simba haina tatizo hata kdg na kiungo (labda cha ukabaji).Simba inahitaji beki wa maana wa kati na mshambuliaji wa kuja kuingia kwny kikosi moja kwa moja.Bado tuna safari ndefu hakika
Utaelewa baadaye,saizi huwezi kuelewaBeki wa kasi awe anakimbia kutoka wapi kwenda wapi? Maana umbali anaosimama beki wa kati hadi golikipa ni mdogo sana wala hauhitaji mbio. Watu wamekariri tu beki mwenye kasi, ukiuliza matumizi ya hiyo kasi jibu hawana
Ndio maana nimesema hakuna mwenye jibu la kiufundi. Majibu ndio kama ya dizaini hiiUtaelewa baadaye,saizi huwezi kuelewa
Simba imeshafika, ndio maana kuingia makundi ya CAF CL kimeshakuwa kitu cha kawaida. Wenye safari ndefu ni hao wengine wanaotolewa mapema au wasiopata nafasi kabisaHizi sajili nyingine hizi, sijui wanazingatia nini hasa.
Tuna safari ndefu bado
Mchezaji ukiifunga Tu Simba au Yanga, Wanakusajili..
Kama hakuna kabisa recruitment professionals...
Diogo Jota kabla ya kusajiliwa Liverpool alitazamwa na kufuatiliwa miaka miwili..
Sisi mchezaji anatazamwa mechi moja Tu
Anasajiliwa..
Mchezaji ukiifunga tu Simba au Yanga wanakusajili.
Kama hakuna kabisa recruitment professionals.
Diogo Jota kabla ya kusajiliwa Liverpool alitazamwa na kufuatiliwa miaka miwili.
Sisi mchezaji anatazamwa mechi moja tu anasajiliwa.
Unataka kusemaje don kwamba kukumsela kakopi na kupaste au kukumsela ndio the boss!?Comment ya The Boss ni ya saa 1:45, hii yako ni ya saa 1:49.
Ngumu kunielewaSimba imeshafika, ndio maana kuingia makundi ya CAF CL kimeshakuwa kitu cha kawaida. Wenye safari ndefu ni hao wengine wanaotolewa mapema au wasiopata nafasi kabisa
Morrison Toka aje amewafungia gori ngapi au hata kuhusika na pasi ya mwisho?Morison na Luis vipi hawajui?
Kama inauma chomoaKila anayewafunga mnamsajili kuanzia Morrison, Kaheza, Miqueson na sasa Chikwende.
Nyani tulizeni vijambio hivyo wanaume wapo kazini, farijianeni na kombe lenu Hilo lenye hadhi ya umitashumtaNyege zikiisha wanashangaa kumbe ni Papa Ndawah mpya