"Perfect Cripsin" mtangazaji mwenye uwezo mdogo aliyepewa nafasi Clouds FM

"Perfect Cripsin" mtangazaji mwenye uwezo mdogo aliyepewa nafasi Clouds FM

Kuna kipindi pia 255 alipewa Kennedy na alitisha mbaya..juzi kati hapa ndo wakamrudisha..
Doooh hana chake tena chaliangu akati pindi alilichora mwenyewe nakumbuka siku lina'introduziwa Dr.Isaac Maro aliizungumzia kidogo pindi anamalizia njia panda.
 
Kuna kipindi pia 255 alipewa Kennedy na alitisha mbaya..juzi kati hapa ndo wakamrudisha..
Doooh hana chake tena chaliangu akati pindi alilichora mwenyewe nakumbuka siku lina'introduziwa Dr.Isaac Maro aliizungumzia kidogo pindi anamalizia njia panda.
 
Mkuu heshimu taaluma ya mtu.Unajua ni kiasi gani nime HUSTLE kuipata nafasi hiyo??Unazingua sana mkuu
 
kila nikifikiria yule waziri aliyemnunulia alteza na kumlipia kodi nyumba nabaki kusema HIIIIIIIIIII,jamaniiiii na kikashfa aalichonacho sasa hivi yule waziri...kazi ipo mjini hapa
 
kila nikifikiria yule waziri aliyemnunulia alteza na kumlipia kodi nyumba nabaki kusema HIIIIIIIIIII,jamaniiiii na kikashfa aalichonacho sasa hivi yule waziri...kazi ipo mjini hapa
Khaa unazungumzia nn hapo?ebu fafanua chaliangu
 
Back
Top Bottom