Perfomance Ya YANGA yafichua ushabiki wa MWIGULU NCHEMBA


Teh Teh
Hebu Nitakuja Kukutembelea
 
Mbona sasa Yanga ni wengi? Kumbe Simba ilipoifunga Yanga 5-0 watu walioumia walikuwa wengi sana!
 
Full of dictators. Nasikia hata Omar Bongo, Gadafi, Saadam, Mobutu na hata PW Botha walikuwa Yanga.

Sisi tunaendesha kinguvu tu watoto wa mama mtakoma,
Osama (R.I.P) Yanga.
 
Last edited by a moderator:
Vipi na wewe leo umeumia sana?
vipigo vya 2-0 ni vingi mno na vya kawaida sana. Lakini kuna watu waligombea uenyekiti wa klabu ili kutafuta 5-0, na wakaomba kuongezewa mwaka mmoja zaidi, bado 5-0 haijapatikana. Lakini 2-0 zipo nyingi tu, hata wao wametoka kupigwa juzi tu
 
Asante kwa kunitaja,kwa kuon gezea tu,hata mke wangupia yanga,mwanangu wa miezi 4 yanga,jamal malinzi yanga,ledgar tenga yanga

poa poa hata Simba wote sasa ni yanga.
 
Last edited by a moderator:
Wajanja wote tuko Yanga, timu ya wananchi....

... na Simba wako akina nani? Jibu liwe na herufi 9 tu likianzia na 'm' na kuishia na 'u', herufi 3 za mwanzo ni lazima zijirudie mara 3 without excuse; chanzo cha hilo jibu ni lazima kiwekwe wazi, no plagiarism!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…