Perfume kali kupitiliza ni utanashati au ulimbukeni?

Perfume kali kupitiliza ni utanashati au ulimbukeni?

queeny

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
584
Reaction score
421
habari wana JF

kuna jambo huwa linanitatiza. unakuta mtu anajipulizia perfume kali kupitiliza, akiingia ofisini watu mnaanza kupiga chafya. akiingia kwenye daladala, basi ukishuka tayari una mafua, akipita coridoni lazima aache alama siku nzima.

hivi kweli huu ni ustaarabu? hivi kila mtu akipuliza perfume hivyo kutakalika kweli?

watu tujirekebishe.

what is good for u may not be good for everyone.

Good day.......
 
halafu unakuta ni mwanaume,
wanaume wengine wanajifukiza na udi jamani..loh kizazi hiki cha dot com ...mmmh
kuweni simple kama my sweet baby!
 
Hii huwa inakwaza sana.......kuna wakati ilibidi niwe naingia ofisini na nose mask kwa sababu ni lazima kichwa kiume......naona alama za nyakati zilisomeka ikawa nafuu yangu........
kuna perfume zinanukia vizuri......zimetulia....sijui kwa nini mtu usichague hiyo......rahisi gharama jamani......
 
Hii huwa inakwaza sana.......kuna wakati ilibidi niwe naingia ofisini na nose mask kwa sababu ni lazima kichwa kiume......naona alama za nyakati zilisomeka ikawa nafuu yangu........
kuna perfume zinanukia vizuri......zimetulia....sijui kwa nini mtu usichague hiyo......rahisi gharama jamani......
halafu unakuta ni lidume sasa! mwanaume unajipuliza mipafyum mia ya nini si wapake deodorant tu waingie ofsini .
 
Walaumiwe waliotengeneza ingawa na mimi sizipendi.
 
Kipendacho roho kula nyama mbichi..kila mtu na akipendacho. Na ndio maana zilitengenezwa kwa kuwa wapo wanaozipenda
 
halafu unakuta ni mwanaume,
wanaume wengine wanajifukiza na udi jamani..loh kizazi hiki cha dot com ...mmmh
kuweni simple kama my sweet baby!

Halafu bby wako ananukia vizuri siku hizi.....huwa natamani nikimsalimia nim hug.......
 
halafu unakuta ni mwanaume,
wanaume wengine wanajifukiza na udi jamani..loh kizazi hiki cha dot com ...mmmh
kuweni simple kama my sweet baby!

yani unakuta mtu mafua hayaponi 24/7.
 
Wala vumbi mmezoea harufu za vikwapa ndo maana cologne na perfume mnaona kero. Mazoea yana tabu bana.
 
Wala vumbi mmezoea harufu za vikwapa ndo maana cologne na perfume mnaona kero. Mazoea yana tabu bana.
haki ya mungu kikwapa cha mwanaume ni kitamu wewe,tena kama unampenda.acha tu..full appetizer hujui tu
 
Mkuu swali tata
Ila linajibiwa ma jibu tata
Kwani hao waliotengeza perfume kali kupitiliza wanafuata utanashati au ulimbukeni..?
 
Back
Top Bottom