Perfume kali kupitiliza ni utanashati au ulimbukeni?

Perfume kali kupitiliza ni utanashati au ulimbukeni?

Ya bei gani? Umenunua kwenye mataa au Kariakoo? Perfume ya ukweli ni bei kubwa si chini ya TZS 150,000 na hata upulizieje haikeri. Zinazochefua mpaka majini yanapanda ni za mchakachuo, wana weka label za perfume kubwa kumbe gumashi
 
Ya bei gani? Umenunua kwenye mataa au Kariakoo? Perfume ya ukweli ni bei kubwa si chini ya TZS 150,000 na hata upulizieje haikeri. Zinazochefua mpaka majini yanapanda ni za mchakachuo, wana weka label za perfume kubwa kumbe gumashi
zinauzwa kwa mafungu kariakoo sasa mtu ananunua fungu lake lina mixture kama 20 halafu anajilipua yote ,huo mlipuko sasa? khaa acha tu
 
To me naona ni ushamba....

Afu vingi vyenye harufu kali sana ni vile vya buku buku lol.

Sijui wanaviitaje .. Vdogo dogo hiv

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
halafu unakuta ni mwanaume,
wanaume wengine wanajifukiza na udi jamani..loh kizazi hiki cha dot com ...mmmh
kuweni simple kama my sweet baby!

Haha haha wa uswahilini flani ndo wanapenda lol.. Afu shati hilo analivaa for some days.. Kila siku ananyunyiza tuu lol

Akipita tuu unajua huyo jamaaa kakatiza daaaa !

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mmmmmmh Smile
hadi udi ?
halafu unakuta ni mwanaume,
wanaume wengine wanajifukiza na udi jamani..loh kizazi hiki cha dot com ...mmmh
kuweni simple kama my sweet baby!
 
Last edited by a moderator:
To me naona ni ushamba....

Afu vingi vyenye harufu kali sana ni vile vya buku buku lol.

Sijui wanaviitaje .. Vdogo dogo hiv

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

vinaitwa EU DE TOILETTE SPRAY
 
Kweli kabisa hata mimi lazima nipige chafya nikisikia mafuta uzuri haswa yale makali wanayaita cheap perfumes.
 
Kweli kabisa hata mimi lazima nipige chafya nikisikia mafuta uzuri haswa yale makali wanayaita cheap perfumes.

mtu anafikiri ametokelezea kumbe anasababisha maafa
 
Hahahahaaaaaaaaa!!!!Shazoea kupitia kama mgeni bt uvumilivu umenishinda kwa hili.

Dah!!! Wale wakumix bwana ndo wananichosha mimi totally. Mtu mmoja anatumia spray 5 tofauti nakila moja anaspray mpaka nguo iloe, sasa subiri amalize icho kitu kilichotengenezwa hapo?!!! Usiombe ukawa unaishi nae nyumba moja au mnashare ofisi!!!! Hapo usisahau cream za uso, body lotion na hand lotion kila moja na harufu yake!!-
Kwa kilichoundwa apo sisiti kufungua madirisha na mlango kuuacha wazi.
 
Hahahahaaaaaaaaa!!!!Shazoea kupitia kama mgeni bt uvumilivu umenishinda kwa hili.

Dah!!! Wale wakumix bwana ndo wananichosha mimi totally. Mtu mmoja anatumia spray 5 tofauti nakila moja anaspray mpaka nguo iloe, sasa subiri amalize icho kitu kilichotengenezwa hapo?!!! Usiombe ukawa unaishi nae nyumba moja au mnashare ofisi!!!! Hapo usisahau cream za uso, body lotion na hand lotion kila moja na harufu yake!!-
Kwa kilichoundwa apo sisiti kufungua madirisha na mlango kuuacha wazi.

we acha tu mtu ana-rub it to your face ili mjue kuwa na yeye yumo.
 
Back
Top Bottom