Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope bei mkuu kuanzia 90,000/= na kuendeleaSo perfume zenu zina range kwenye kiasi gani labda nijue kama nipo kwenye hii league au hapana?
Sawa,ilimradi iwe kama hiiYa kike hatuna boss, ila tunaweza kufanya order ikaletea in 7days
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaleta kwa bei gani mkuuYa kike hatuna boss, ila tunaweza kufanya order ikaletea in 7days
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapatikana mkuu, karibu pm au whatsappSawa,ilimradi iwe kama hiiView attachment 991259
Sawa
Creed ndio perfume yangu nilinunuaga Creed Viking nilikuwa nanukia mpk najiogopa. Kuna siku nilienda saloon kunyoa nilikuwa nimepulizia kuna mdada alishobokea ile harufu mpk noma yaani ningeweza hata kumgonga siku ile ile sema nilienda na watotoMimi ninatafuta CREED mnayo?
Kama ni mara ya kwanza jeKama ni mtumiaj wa hiyo perfume unaweza tofautisha, pia unaweza fika dukani tukakufahamisha zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni orijino au zile za kupima?Creed ndio perfume yangu nilinunuaga Creed Viking nilikuwa nanukia mpk najiogopa. Kuna siku nilienda saloon kunyoa nilikuwa nimepulizia kuna mdada alishobokea ile harufu mpk noma yaani ningeweza hata kumgonga siku ile ile sema nilienda na watoto
Bei yako ikoje huko sokon mkuuCreed ndio perfume yangu nilinunuaga Creed Viking nilikuwa nanukia mpk najiogopa. Kuna siku nilienda saloon kunyoa nilikuwa nimepulizia kuna mdada alishobokea ile harufu mpk noma yaani ningeweza hata kumgonga siku ile ile sema nilienda na watoto
OGNi orijino au zile za kupima?
Nililetewa toka nje ila kulikuwa na kibandiko cha usd 110Bei yako ikoje huko sokon mkuu