INAUZWA Perfume nzuri kwa bei ya kawaida

INAUZWA Perfume nzuri kwa bei ya kawaida

Ijumaa nyingine tena ya manukato fresh ..nukia vizuri leo na Asheer perfume yenye harufu nzuri isiyo boa wala kukera na yenye kukaa kwa muda mrefu kwa 35,000tsh tu

Tupigie 0744551655 au fika dukani kwetu magomeni mikumi kuona bidhaa zetu mbalimbali.
IMG_5745.jpg

IMG_5744.jpg
 
Wale wapenzi wa kijifukiza kwa udi..njoeni mchukue vyetezo vya umeme kwa 38,000tsh .Tupigie 0744551655 au fika dukani kwetu magomeni mikumi kwa maelezo zaidi.


IMG_6088.jpg

IMG_6087.jpg

IMG_6086.jpg

IMG_6085.jpg

IMG_6084.jpg
 
Mkuu mi mhenga ninatafuta perfume hii Gift of Zanzibar je unayo?
 
Karibu uchague perfume kali uweze nogesha weekend yako [emoji2] kwa 30,000tsh .

Tupigie 0744551655 au fika magomeni mikumi uchangue uipendayo.

NB;Unaruhusiwa kuja kujipulizia perfume unayopenda na kuondoka bila kununua [emoji2][emoji23]...


Karibuni saana.

30E3B25A-439C-4818-9E9B-E84F8F618DF2.jpg

AA55A76D-CF99-497A-AFED-68D3A4D9B43A.jpg

542D564D-F36C-469A-AF8F-CA98E3A95975.jpg

IMG_5405.jpg

6B58C07B-3B9F-43C2-8FFA-8ECC95410988.jpg

516D637F-1557-4F81-B256-CF49C01462F3.jpg

IMG_5404.jpg
 
nimenunua hii jana kwa ushauri wa muuzaji ila hainukii kabisa naona nimepoteza pesa zangu
ipi perfume nzur ya brand hii?
jina lake ni invitus
IMG_20220304_220704_377.jpg
 
nimenunua hii jana kwa ushauri wa muuzaji ila hainukii kabisa naona nimepoteza pesa zangu
ipi perfume nzur ya brand hii?
jina lake ni invitusView attachment 2139080

Hainukii kabisa yaani haina harufu.? Au harufu yake hujaipenda.??

Unapenda perfume zenye harufu kalii au zilizopoa.?
 
DON’T PLAN TO MISS THIS,MAAANA ZIPO CHACHEE MNO

Unapata perfume long lasting,Bodyspray kalii,Air freshner pamoja na Udi saafi inakufanya unukie wewe pamoja na mazingira yako.

Kama hutaki full set.

Perfume@32,000tsh
Bodyspray@7,000tsh
Airfeshner@7,000tsh
Oud@20,000tsh

View attachment 1595349.View attachment 1595350
View attachment 1595351
View attachment 1595352
View attachment 1595353
View attachment 1595354
View attachment 1595355
View attachment 1595356
View attachment 1595357

Tupigie kwa 0744551655, au text whatsapp kwa 0782579015 Au fika Dukani kwetu magomeni mikumi kwa maelezo na kuona bidhaa zetu zaidi.
Aisee..nimeona jambo langu hapo..Ragba..aa achaa tu
 
nimenunua hii jana kwa ushauri wa muuzaji ila hainukii kabisa naona nimepoteza pesa zangu
ipi perfume nzur ya brand hii?
jina lake ni invitusView attachment 2139080

Invictus ni moja ya matoleo ya Paco Rabanne, original ya hii huwa najua ina matoleo matatu Invictus ambayo ni EDT (harufu iliyopoa), Invictus Legend ambayo EDP (harufu kali) na Invictus Victory ambayo ni EEDP (harufu kali kupitiliza)

Kwa bongo utaishia kupata Invictus EDP na bei zake ni around 280k hadi 320k hapo inategemea na muuzaji...

Kama unapenda uturi wa harufu kali kuna vitu kama Baccarat Rouge 540, Profondo, Creed Aventus, Savage Dior, Noir Extreme...kama una kisu jaribu hizo, pia kuna wauza uturi huwa wana copy zake
 
Mkuu hiyo Maahir ukipata black edition yake niambie haraka
 
Mkuu nitapata De Rouge? Kama ipo Bei yake tafadhari
 
Random selection [emoji2]

Zote nzuri na zote ni unisex bei ni kati ya 28,000tsh -45,000tsh fanya kuchangu your favorite na utupigie 0744551655 au fika magomeni mikumi kuona perfume zetu mbali mbali.

nb; unaruhusiwa kuja dukani kujipurizia perfume unayopenda pasi na kununua na kuendelea na mambo yako [emoji2][emoji1787].

Karibuni saana

541D6E39-B8C0-487E-B6CE-D02441270183.jpg

4E604595-30CE-46C3-B28F-68DC0DF62407.jpg

9C5B441E-6E91-44F7-AB4B-FAEB7F0A79FC.jpg

95CE6059-8EF3-4A57-9693-2E4F0E0AA46B.jpg

CD6DC946-1163-4588-B0F9-2A0EE32303DC.jpg
 
Siku nyingine tena ya kunukia vizuri na MANUKATO poa kutoka dukani kwetu ..Tupigie 0744551655 au fika magomeni mikumi uchague utakayo penda kwa bei ya 28,000tsh mpaka 75,000tsh.

IMG_1334.jpg

IMG_1335.jpg

IMG_1338.jpg

IMG_2157.jpg

IMG_1331.jpg
 
Back
Top Bottom