Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Endelea kuotaHamna lolote kelele nyingi vitendo zero,Kenya bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuotaHamna lolote kelele nyingi vitendo zero,Kenya bado sana
Hivi unajua tumewashika watanzania zaidi ya 200 kwa tuhumu za Ugaidihapa KEnya??? Moja wa wale walioshambulia Garissa University alikua ni Mtanzania Mbona hamkuwashika huko Tanzania kabla aje Kenya???
Kuna hawa wengine walio jaribu kushambulia kambi ya KDF kwenye mpaka wa Kenya na TZ, kulikua na watanzania Wawili pamoja na alshabaab wengine kutoka UK na US..... Mbona hamkuwashika hao watanzania kabla waje huku???
graphic pic, click to see
Kumbe huwa mnawakamata watz kwa tuhuma na sio ugaidi
MI ya Kenya ni ya hovyo that why magaidi wanaweza mpaka kupenya na kufanya ugaidi ndani ya aridhi yenu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Mara ngapi France imefanyiwa ugaidi ndani kwake?
Mara ngapi France imefanyiwa ugaidi ndani kwake?
Huwa unaona action yao lkn
Sent using my iPhone using jamiiforum app
You are innocent until proven guilty in a court of law!Kumbe huwa mnawakamata watz kwa tuhuma na sio ugaidi
MI ya Kenya ni ya hovyo that why magaidi wanaweza mpaka kupenya na kufanya ugaidi ndani ya aridhi yenu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Vyote
Sent using my iPhone using jamiiforum app
vita gani jwtz imefanikisha peke yao...au operation gani pia wamefanikisha peje yao...leta list hapa nikuumbue...Sio vita hawajawai kufanikisha operation yoyote wakiwa peke yao
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Mara ngapi France imefanyiwa ugaidi ndani kwake?
Huwa unaona action yao lkn
Sent using my iPhone using jamiiforum app
OK let's put it simple, the ISIS attacked their capital and non of them was captured, so which action are you talking about?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena usisahau France iko Europe , Haipakani na nchi yoyote ambayo ni hotbed ya Magaidi........ Budgeti ya Ulinzi ya france ni $35Billion, licha ya hivyo bado Ugaidi unapenya, huku Budgeti ya Kenya ikiwa $2Billion na tunapakana na nchi ambayo magaidi wanatokea.....
Comparizon nzuri itakua ni nchi kama Turkey ambayo pia inapakana na nchi ambayo wanapigana na magaidi....
vita gani jwtz imefanikisha peke yao...au operation gani pia wamefanikisha peje yao...leta list hapa nikuumbue...
na east africa hakuna nchi yeyote ile imeshawai fanya operation km ile ya dusit...
OK let's put it simple, the ISIS attacked their capital and non of them was captured, so which action are you talking about?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mjiingize kwenye mapambano na magaidi aliyakuwa mpo karibu nao na bajeti yenu ni finyu?Tena usisahau France iko Europe , Haipakani na nchi yoyote ambayo ni hotbed ya Magaidi........ Budgeti ya Ulinzi ya france ni $35Billion, licha ya hivyo bado Ugaidi unapenya, huku Budgeti ya Kenya ikiwa $2Billion na tunapakana na nchi ambayo magaidi wanatokea.....
Comparizon nzuri itakua ni nchi kama Turkey ambayo pia inapakana na nchi ambayo wanapigana na magaidi....
UshambaMchana waweza kuwa usiku huko Somalia hahaaa
RNC na fdrl ???????? kumbe hata naongea na mtu ambaye hajui tofauti ya aina za vita.... Jamaa unataka kulinganisha "freedom fighters" na jihad terrorists!!!! Duuh... Wacha yaishie hapo tuKwanini mjiingize kwenye mapambano na magaidi aliyakuwa mpo karibu nao na bajeti yenu ni finyu?
Vip kuhusu bajeti ya rwanda lkn kaweza kuwadhibiti RNC na fdrl
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Umeongerea bajeti na umbali that why nikakutolea mfano RNCRNC na fdrl ???????? kumbe hata naongea na mtu ambaye hajui tofauti ya aina za vita.... Jamaa unataka kulinganisha "freedom fighters" na jihad terrorists!!!! Duuh... Wacha yaishie hapo tu
wewe kakojoe ulale... masaa ya watoto yamepitaUmeongerea bajeti na umbali that why nikakutolea mfano RNC
Kdf ni wahovyo mpaka wanapigwa kambi nzima pamoja ya kuwa na bajeti kubwa isiyowasaidia kitu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Isis na France wanajuana hao ni mtu na bosi wake
Sent using my iPhone using jamiiforum app