little finger
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 394
- 997
Hapa unatumia account za kuchakachua, unanunua account, unaweka kwenye ps4 yako unadownload hizo game halafu unatoa account, sema sio 100% accuracy sometime inakubali sometime inakataa. Kuna magroup ya telegram yanauza.
Huyu jamaa aliwahi niuzia
PouriArc PSN Shop
🎮 THE GAME IS YOURS 💯 Cheapest Playstation Games ⚠️ All New/Old PS5/PS4 Games Available, if you didnt find it on channel just ask for it : @PouriArc 🌀Premium & Trusted Seller in MPGH.net : https://www.mpgh.net/forum/showthread.php?t=1493644t.me
Hapo Kuna hela ya kununua account na Kuna bundle la kudownolad hio game ,FC 24 ina takribani gb 40.Kama hauna Wifi ya uhakika Bora ukawagawie riziki tu hao wanaofanya Digital installation.Hapana, version yake ni ya juu
Hapa unatumia account za kuchakachua, unanunua account, unaweka kwenye ps4 yako unadownload hizo game halafu unatoa account, sema sio 100% accuracy sometime inakubali sometime inakataa. Kuna magroup ya telegram yanauza.
Huyu jamaa aliwahi niuzia
PouriArc PSN Shop
🎮 THE GAME IS YOURS 💯 Cheapest Playstation Games ⚠️ All New/Old PS5/PS4 Games Available, if you didnt find it on channel just ask for it : @PouriArc 🌀Premium & Trusted Seller in MPGH.net : https://www.mpgh.net/forum/showthread.php?t=1493644t.me
Za steam pia zipo sema sikushauri, mtu anakupa account, unadownload game then unaset steam ikae offline halafu unacheza games, siku steam wakiamka vibaya wanakwambia ingia online ukiingia tu wanakudai account, mwenye account ashabadili password inakula kwako.Mkuu account ya steam for pc games naweza kupata wapi nataka kununua baadhi ya games
Chief nimekuchek dmZa steam pia zipo sema sikushauri, mtu anakupa account, unadownload game then unaset steam ikae offline halafu unacheza games, siku steam wakiamka vibaya wanakwambia ingia online ukiingia tu wanakudai account, mwenye account ashabadili password inakula kwako.
Games za PC mara kwa mara zinakua kwenye sale angalia Epic, gog, Amazon prime etc. Ni game Gani unahitaji?
Za steam pia zipo sema sikushauri, mtu anakupa account, unadownload game then unaset steam ikae offline halafu unacheza games, siku steam wakiamka vibaya wanakwambia ingia online ukiingia tu wanakudai account, mwenye account ashabadili password inakula kwako.
Games za PC mara kwa mara zinakua kwenye sale angalia Epic, gog, Amazon prime etc. Ni game Gani unahitaji?
Red dead ina crack nafkiri, unless kama Kuna online features unazotaka, FC24 nikiliona sehemu Bei rahisi nitakustua.Sawa, mkuu nataka Red dead redemption2, na Fc24
Red dead ina crack nafkiri, unless kama Kuna online features unazotaka, FC24 nikiliona sehemu Bei rahisi nitakustua.
Weka link mkuu, ila mara nyingi hapa Tanzania machine zinakua rahisi kuliko China.Mkuu Chief-Mkwawa Habari za masiku...nimeona AliExpress kuna gaming PC nzuri kwa 450k na 500k , je huwa zinakuwa vizuri vipi kodi zake zinabebeka?
Tanzania hapa kariakoo?Weka link mkuu, ila mara nyingi hapa Tanzania machine zinakua rahisi kuliko China.
Epic store na Steam wana FC24 kwa $14 sasa hivi, standard version. Sijafuatilia zaidi kama kuna code ya kushusha zaidi.Crack yake ina crash sana kaka, ukipata FC24 naomba share Mkuu
Nilichekewa january fc 24 ilikuwa usd 20 tu..Za steam pia zipo sema sikushauri, mtu anakupa account, unadownload game then unaset steam ikae offline halafu unacheza games, siku steam wakiamka vibaya wanakwambia ingia online ukiingia tu wanakudai account, mwenye account ashabadili password inakula kwako.
Games za PC mara kwa mara zinakua kwenye sale angalia Epic, gog, Amazon prime etc. Ni game Gani unahitaji?
Usafiri ndio chamoto unakuta bei mars mbili ya bidhaa. Bidhaa nzito sheeping ndio kipengele. Ila AliExpress wako vizuri nimenunua vitu vingi sana sijaona changamoto.Mkuu Chief-Mkwawa Habari za masiku...nimeona AliExpress kuna gaming PC nzuri kwa 450k na 500k , je huwa zinakuwa vizuri vipi kodi zake zinabebeka?
Nimeiona bana ngoja niinunue chap...Epic store na Steam wana FC24 kwa $14 sasa hivi, standard version. Sijafuatilia zaidi kama kuna code ya kushusha zaidi.
Unaweza uka download mdogo mdogo haina shida, steam ina support resume.Nimeiona bana ngoja niinunue chap...
Sema sasa nikishalipia vipi kuhusu kudownload me nataka kudownload mdogo mdgo maana sina haraka.
View attachment 2936025
Ina hela ya kutosha? Maana dola siku hizi imepanda sana.tigo kadi naona inazinguaView attachment 2936045