PES Masters Club

PES Masters Club

Mgaigai

Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
44
Reaction score
70
Kila mtu Ana starehe yake ya kipekee wakati wa mapumziko yake,kwangu Mimi gaming (hasa Pes)ndio ya kwanza.

Najua humu madon wa hili game wapo,ningependa tuwe tunashare techniques,tactics zile za in-play kote kwenye defending, attacking ili kuimprove wakati tunacheza pia kuenjoy zaidi.

Tubase kwenye Pes ya PlayStation.
Cc:Gamers

#No games no life.[emoji110][emoji110][emoji110]
images.jpg
ICON0.PNG
images%20(1).jpg
 
Mimi huwa nacheza possession football,best formation kwangu ni 4-3-3.

Beki nne hapo zinatengeneza mfumo mzuri wa ulinzi kuzuia hao attackers wa opponent,timu inakuwa ipo salama inapoenda mbele na mpira .

Kwenye midfield hapo,nawekaga CM wawili na DM mmoja,DM mmoja anapatrol ulinzi pia wanaunganisha possession na CM
4-3-3-758x1024.jpg
 
Huu mfumo wangu wa 4-3-3 nikicheza na mtu anayejua kudefense vizuri hapo ndio kwisha habari ,unajikuta unadefense zaidi kwa sababu watu wa kuattack kule mbele ni wachache mno,naukubali kwa sababu kunakuwa na stability kwenye timu
 
Kwenye kudefense hapo huwa natembea na jockey (log)na ile "X"(wanaita kukabia njia)ingawa naona kwangu haifanyi kazi Sana kwenye ps4 Ila ps 3 iko accurate.

Then, sometimes Unaweza changanya na ile "[box]+X" kuita watu wawili au "[box]×2 Kisha unaishikilia kufanya secondary pressing.

Kwa kiasi chake inasaidia ,muda mwingine vipigo haviepukiki
 
Nitashambuliwa ila hutofunga mm nakua na watu wa counter
Mimi nilikuwa natumia mfumo Kama huo timu ya Chelsea, unadefense vizuri shida unascore goals chache .

Yani huu labda nicheze na master lengo likiwa kupunguza idadi ya magoli tu
 
Mimi huwa nacheza possession football,best formation kwangu ni 4-3-3.

Beki nne hapo zinatengeneza mfumo mzuri wa ulinzi kuzuia hao attackers wa opponent,timu inakuwa ipo salama inapoenda mbele na mpira .

Kwenye midfield hapo,nawekaga CM wawili na DM mmoja,DM mmoja anapatrol ulinzi pia wanaunganisha possession na CMView attachment 2614277
Best formation yangu ni 5-3-2, tackling na defending tactics kama zote. Napenda one touch yaan pasi tu fupi fupi za uhakika, ukizubaa kidogo inaenda pasi ndefu hao wawili hapo mbele kwenye 5-3-2 wanamaliza kazi
 
Best formation yangu ni 5-3-2, tackling na defending tactics kama zote. Napenda one touch yaan pasi tu fupi fupi za uhakika, ukizubaa kidogo inaenda pasi ndefu hao wawili hapo mbele kwenye 5-3-2 wanamaliza kazi
Nakubali!! PES Kuna ule mtindo unazubaa kudefense inapigwa sambusa mbele kwa CF ,anakimbilia peke yake anabaki na kipa anascore unaitwa kati
 
PES ndo best game kwangu, likifuatiwa na PUBG pamoja na Super Mario (Japo sichezi tena)

Huwa napenda ile namnyoosha Opponent wangu hadi Peter Drury na ile sauti yake anasema "Demolition, Destruction, Annihilation ...."
[emoji23][emoji23]sio powa
 
Best formation yangu ni 5-3-2, tackling na defending tactics kama zote. Napenda one touch yaan pasi tu fupi fupi za uhakika, ukizubaa kidogo inaenda pasi ndefu hao wawili hapo mbele kwenye 5-3-2 wanamaliza kazi
Mkuu mimi beginner kubadili formation unabonyeza wapi nina pes17 patch23 ndo nimeanza kujifua hapa
 
Kwenye kudefense hapo huwa natembea na jockey (log)na ile "X"(wanaita kukabia njia)ingawa naona kwangu haifanyi kazi Sana kwenye ps4 Ila ps 3 iko accurate.

Then, sometimes Unaweza changanya na ile "[box]+X" kuita watu wawili au "[box]×2 Kisha unaishikilia kufanya secondary pressing.

Kwa kiasi chake inasaidia ,muda mwingine vipigo haviepukiki
L2 ndo au R2 ndo yenyew kwenye kukaba nyngne mbwembwe tu
 
Back
Top Bottom