Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Two button mnakelele sanaHakuna wa kunifunga game umu
Hapo goli kuanzia 6 kuelendeleaPES ndo best game kwangu, likifuatiwa na PUBG pamoja na Super Mario (Japo sichezi tena)
Huwa napenda ile namnyoosha Opponent wangu hadi Peter Drury na ile sauti yake anasema "Demolition, Destruction, Annihilation ...."
HahahaaaHapo goli kuanzia 6 kuelendelea
Huwa nasema FIFA is overrated, wale wajapan ni balaa, na shida ya wajapan siku zote ni lowkey, ingekua brand ya USA mzee wa tambo yangekua menginePES imekaa vina sana ila tatizo ni promo tu!
Nenda kwenye option ya Game Plan utaona pa kubadili kila kitu khs team yakoMkuu mimi beginner kubadili formation unabonyeza wapi nina pes17 patch23 ndo nimeanza kujifua hapa
Oya hiyo 2 ni hatari dribble 1, dribble 2 likipigwa box na Ronaldo au Ibrahimovic kama hujachezesha kipa basi mpira katiUkifika ubungo au magomeni ukiulizia sparta watakuleta kwangu bingwa wa ps2 enzi hzo sio ps3, 4 na 5 mtu mwez tu nae anakua et bingwa anasumbua watu
mbaya ndiyo mbeya si ndiyo?Nataka bingwa nipo mbaya
Uku wakuja tu kwetu tandalembaya ndiyo mbeya si ndiyo?
sasa we kibonde huko mbeya si ndiyo unajiona bingwaUku wakuja tu kwetu tandale
Kweli kabisaa.Looser Haina mashauzi labda Ps iwe yenu unacheza na wana4-1-2-3 quick counter amna watu nawa bonda kama wanao cheza possession football .mimi ni ku attack tu sina mashauzi .
mfumo pinzani sana kwangu uwa ni 4-4-2 na 4-3-3 anae cheza vizuri ...uni lazimu kubadili t0 4-2-1-3.
lakini pale middle nawa nyanyasa sana nki zidiwa nakimbilia pembeni kutumia wings wenye speed ...