Pesa sio chanzo cha ukimwi, Pesa ni nyenzo tu, ukiitumia vizuri itafanya mema, ukiitumia vibaya itafanya mabaya. Chanzo cha ukimwi ni tabia ya uzinzi inayowezeshwa na pesa kama nyenzo kwa sehemu mojawapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.