Pesa huzaa pesa: Elon Musk na kaka yake Kimbal

Pesa huzaa pesa: Elon Musk na kaka yake Kimbal

Madwari Madwari

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
1,825
Reaction score
3,085
Elon na kaka yake Kimbal wakiwa pembeni ya Rolls Royce ya baba yao kabla hawajaanza safari ya kwenda shule.
1729181618269.png
 
Elon na kaka yake Kimbal wakiwa pembeni ya Rolls Royce ya baba yao kabla hawajaanza safari ya kwenda shule.
View attachment 3127957
Imani potofu hii
Asilimia kubwa kabisa ya watoto wa matajiri huishia kuwa watu wa starehe madawa kutapanya mali, ni wachache tu ndiyo hufanikiwa sana na hao huwa ni watu smart sana kwa sababu siyo rahisi
 
Imani potofu hii
Asilimia kubwa kabisa ya watoto wa matajiri huishia kuwa watu wa starehe madawa kutapanya mali, ni wachache tu ndiyo hufanikiwa sana na hao huwa ni watu smart sana kwa sababu siyo rahisi
Unaongelea matajiri wa kiafrika ndugu yangu kama ukibahatika kufanikiwa kumbuka inabidi uikuze na kuilea familia yako ije kufanya makubwa kuliko wewe.
 
Unaongelea matajiri wa kiafrika ndugu yangu kama ukibahatika kufanikiwa kumbuka inabidi uikuze na kuilea familia yako ije kufanya makubwa kuliko wewe.
Matajiri 10 wa dunia wa miaka kama 30 iliyopita tunategemea kuwaona watoto wao wakiwa matajiri wakubwa kabisa lakini mambo yako hivyo kweli kama unavyosema?
Mfano mdogo mtu kama p didy watoto wake wana hali gani mark?
 
Vipi Matajiri wa Bara Africa? Vipi wa India ? Vipi wa SA .....? Vipi wa Kiarabu ( Africa) .........vipi huko Uarabuni kabisa ????
 
Imani potofu hii
Asilimia kubwa kabisa ya watoto wa matajiri huishia kuwa watu wa starehe madawa kutapanya mali, ni wachache tu ndiyo hufanikiwa sana na hao huwa ni watu smart sana kwa sababu siyo rahisi
Jidanganye
 
Matajiri 10 wa dunia wa miaka kama 30 iliyopita tunategemea kuwaona watoto wao wakiwa matajiri wakubwa kabisa lakini mambo yako hivyo kweli kama unavyosema?
Mfano mdogo mtu kama p didy watoto wake wana hali gani mark?
Hata hivyo ni matajiri sio lazima wawe kwenye top ten
 
For the 100 year back and forth, the riches will be riches and the poor we remain poor.

Utajiri hautengenezwi katika kizazi kimoja labda pesa kumudu mahitaji muhim na matamanio kidogo tu.
Hivyo hivyo kwa umasikini, hii haina ubishi kabisa.
 
Imani potofu hii
Asilimia kubwa kabisa ya watoto wa matajiri huishia kuwa watu wa starehe madawa kutapanya mali, ni wachache tu ndiyo hufanikiwa sana na hao huwa ni watu smart sana kwa sababu siyo rahisi

Statistics?
 
Matajiri 10 wa dunia wa miaka kama 30 iliyopita tunategemea kuwaona watoto wao wakiwa matajiri wakubwa kabisa lakini mambo yako hivyo kweli kama unavyosema?
Mfano mdogo mtu kama p didy watoto wake wana hali gani mark?
Matajiri kumi wa dunia wote hakuna 'self made' ndugu yangu kuanzia Billgates mpaka Jeff Bezos. Hao wote waliwezeshwana wazazi wao mpaka wakafika hapo walipo. Watanzania tukipata hela tunataka tumbato wanawake wote wa mjini. Familia hauna muda nayo ukishalipa ada imeisha. Nyumbani unanunua nyama imeisha hiyo ? Ukishafika miaka ya 60 unashangaa watoto mbona hawaoi hawana mafanikio. Wajukuu unawasomesha wewe unajiuliza ulikosea wapi ? Kumbe ulikula bata ujana na sasa unateseka ukiwa na hela. Omba Mungu sana usije ukateseka ukiwa na hela maana hauna mtu wa kumuelezea akakuelewa.
 
Back
Top Bottom