DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Habari wana jamvi
Leo katika pita pita zangu nikaingia mgahawa mmoja kwaajili ya kupata breakfast ambapo nilifika na kuagiza na nikaletewa kama nilivoagiza baada ya kula nikatoa noti ya shilingi elf kumi na kumkabidhi yule mama ambapo alinirudishia chenji ambayo ni shilingi elf 6 niliipokea na kuiweka kwenye mfuko wa shati kwani niliona uvivu kuiweka katika wallet kwakuwa nilikuwa na safari fupi ambayo lazima ningehitaji kuitumia pesa hio.
Hatua chache baadae nilipanda bodaboda ambayo ilinifikisha hadi ninapokwenda lakini ipofika saa ya kutoa nauli kwenye mfuko washati sikukuta hata senti
Shida hapa sio elfu sita em tujadili kidogo hivi hizi mambo za chuma ulete bado zipo?
Na kinga yake ni nini?
Nikawaza what if ningechanganya na pesa zangu za kwenye wallet si zingekwenda zote sasa😀
Leo katika pita pita zangu nikaingia mgahawa mmoja kwaajili ya kupata breakfast ambapo nilifika na kuagiza na nikaletewa kama nilivoagiza baada ya kula nikatoa noti ya shilingi elf kumi na kumkabidhi yule mama ambapo alinirudishia chenji ambayo ni shilingi elf 6 niliipokea na kuiweka kwenye mfuko wa shati kwani niliona uvivu kuiweka katika wallet kwakuwa nilikuwa na safari fupi ambayo lazima ningehitaji kuitumia pesa hio.
Hatua chache baadae nilipanda bodaboda ambayo ilinifikisha hadi ninapokwenda lakini ipofika saa ya kutoa nauli kwenye mfuko washati sikukuta hata senti
Shida hapa sio elfu sita em tujadili kidogo hivi hizi mambo za chuma ulete bado zipo?
Na kinga yake ni nini?
Nikawaza what if ningechanganya na pesa zangu za kwenye wallet si zingekwenda zote sasa😀