Pesa ina kaujeuri fulani hivi

Nawe ukaenda au mama ndio

Alisema ole wake nione mtu kapeleka pua yake na mkta vidole
"nione li mtu limepeleka tumakalio twake pale eti naenda kuangalia TV nitakachokufanyaaa" alisikika mama mwenye hasira akiwa kashika mwiko wa chakula huku akitukata jicho kali sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
"nione li mtu limepeleka tumakalio twake pale eti naenda kuangalia TV nitakachokufanyaaa" alisikika mama mwenye hasira akiwa kashika mwiko wa chakula huku akitukata jicho kali sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila wamama wazaman wametufundisha kujishikilia sana ila hawa sasaivi
 
Tutafute pesa sana, jirani yangu kanunua TV mpya alafu ananiuliza kama nahitaji box?.
Hama hiyo nyumba kama mtu anakuwa na jeuri kwa vitu kama Tv (liability) sahau kuhusu issue ya maendeleo kwa maana watu wanaokuzunguka hawana future hiyo kimbia mashindano ya olympc
 
Pesa bwana , nikijua mfukoni niko poa nakuwaga serious hata ndani sitoki bila kuoga hata Kama naenda klabuni kunywa ulanzi ,alafu naongea kwa vituo na staha kubwa ,Sasa nikiwa Sina hela hata ukiambiwa huyu ni mwajiriwa wa serikali lazima ukatae tu
PESA/ FEDHA Ina mengi wengine wakiwa nayo wanakua Kama Wenda wazimu wakifulia ndio akili zinarudi..

😊 Mtu anaweza ku google mpaka madhara ya kula UGALI usiku..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…