Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"nione li mtu limepeleka tumakalio twake pale eti naenda kuangalia TV nitakachokufanyaaa" alisikika mama mwenye hasira akiwa kashika mwiko wa chakula huku akitukata jicho kali sana😂😂😂😂Nawe ukaenda au mama ndio
Alisema ole wake nione mtu kapeleka pua yake na mkta vidole
Ila wamama wazaman wametufundisha kujishikilia sana ila hawa sasaivi"nione li mtu limepeleka tumakalio twake pale eti naenda kuangalia TV nitakachokufanyaaa" alisikika mama mwenye hasira akiwa kashika mwiko wa chakula huku akitukata jicho kali sana😂😂😂😂
Hama hiyo nyumba kama mtu anakuwa na jeuri kwa vitu kama Tv (liability) sahau kuhusu issue ya maendeleo kwa maana watu wanaokuzunguka hawana future hiyo kimbia mashindano ya olympcTutafute pesa sana, jirani yangu kanunua TV mpya alafu ananiuliza kama nahitaji box?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbn shule zimewahi kufungwa ivi? Mwenye mihula anitumie tafadhari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka kipindi nakua kuna jirani akanunua tv [emoji342] na deki ya mikanda alafu akaja kumwambia bi mkubwa waruhusu wanao wajage kuangaliaa tv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie pia....nakuaga naumwaMimi nikiwa Sina pesa nakuaga mnyonge Sanaa KAMA NAUMWA VILEEEE..
""UKITEMBEA NA PESA/ UKIWA NA PESA UNATEMBEA NA MAMLAKA"
MONEY, POWER, RESPECT 😄
Kumbe tupo wengi aisee/ Mimi hata kujiamini kunapunguaga maana maana unaweza pewa jukumu likakushinda 😊Mie pia....nakuaga naumwa
Ungelichukua tu ukazibie madirisha mkuu.🤔Tutafute pesa sana, jirani yangu kanunua TV mpya alafu ananiuliza kama nahitaji box?.
Wengine wanachana chana boksi wanaweka Chini ya godoro/ kuzibia Chaga za kitanda..Ungelichukua tu ukazibie madirisha mkuu.🤔
PESA/ FEDHA Ina mengi wengine wakiwa nayo wanakua Kama Wenda wazimu wakifulia ndio akili zinarudi..Pesa bwana , nikijua mfukoni niko poa nakuwaga serious hata ndani sitoki bila kuoga hata Kama naenda klabuni kunywa ulanzi ,alafu naongea kwa vituo na staha kubwa ,Sasa nikiwa Sina hela hata ukiambiwa huyu ni mwajiriwa wa serikali lazima ukatae tu
Hasira kila kitu kinakua kero hata mtu akikuangalia tu unakereka 🤣🤣🤣🤣Kumbe tupo wengi aisee/ Mimi hata kujiamini kunapunguaga maana maana unaweza pewa jukumu likakushinda 😊
Kale kaujeuri kako ni hivyo visenti vinakupagawisha kumbeSasa babe mimi nina hela gani!!