π€£π€£π€£π€£pesa inakiwango chake kwa kila mtu kunamtu akiwa hata na elfu tao utajua tuh
Mie sio jeuri hata kidogo π€£π€£Kale kaujeuri kako ni hivyo visenti vinakupagawisha kumbe
πππPesa bwana , nikijua mfukoni niko poa nakuwaga serious hata ndani sitoki bila kuoga hata Kama naenda klabuni kunywa ulanzi ,alafu naongea kwa vituo na staha kubwa ,Sasa nikiwa Sina hela hata ukiambiwa huyu ni mwajiriwa wa serikali lazima ukatae tu
Aiseee, mara nyngi huwa nawaheshmu watu wazima nikidhani wana hekima lakin kumbe na wao ni wapuuz tu kama huyo mama uliyemtaja.Dah huu Uzi ni kama ubaki milele hv uwe unadondosha vijitabia vya wenye pesa na hawaelewi maana ya pesa. Maana anayejielewa na kuielewa pesa hawezi Fanya hvyo.
Kuna Moja Kali hiyo mmama alikuwa anakamua TUI la Nazi mara mbili au tatu halafu anatunza Yale machicha anamwambia jirani yake weka maji ukamue unaweza pata chochote sijakamua Sana.
πππAiseee, mara nyngi huwa nawaheshmu watu wazima nikidhani wana hekima lakin kumbe na wao ni wapuuz tu kama huyo mama uliyemtaja.
All in all,Hasira kila kitu kinakua kero hata mtu akikuangalia tu unakereka π€£π€£π€£π€£
Kukosa hela ni kubaya sana
πππChukua nitumie mkuu mimi nahitaji hilo box niko zangu kiteto huku niwatingishe majirani ni Inch ngapi nianze kutangaza kabisa nimeagiza TV daslm..
Najua unawaza ada tena inatakiwa hapoMbn shule zimewahi kufungwa ivi? Mwenye mihula anitumie tafadhari
habari ya leo To yeyeπ€£π€£π€£π€£
Na madhara ya kula ugaliUnaweza ukaanza kugoogle Madhara ya kutembea kwa Mguu..
Njema Hyper,waendeleaje?habari ya leo To yeye
nashukuru uzima upoNjema Hyper,waendeleaje?