Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Nimekumbuka kisa kilichotokea mwaka 2018 maeneo ya Kinondoni kwenye Bar ya Uhuru Peak. Ilikuwa hivi siku hiyo nilikuwa na jamaa yangu maeneo yale tunapata kitu roho inapenda ilikuwa mida ya saa 8 na dk zake usiku.
Ghafla upande wa pili tukamuona Dada Poa akiburutwa na jamaa huku akitukanwa matusi yote. Mimi mwenyewe Mafia yaani ule hela yangu halafu unataka kuniibia?
Yule Dada poa akaburuzwa mpaka nyuma ya gari usawa wa tairi. Jamaa akaanza kumkojolea mkojo halafu wazee wa tungi kama mnavyojua mkojo wa pombe unavyokua mwingi yule Dada alikojolewa zaidi ya mkojo lita moja na akaachwa palepale amelowa mkojo kichwani mpaka mabegani.
Nimeamua kuandika hili tukio ili kuwakumbusha tuwe tunaridhika na kile tunachopata. Yaani Ofa upewe na unataka na kumuibia aliyekupa ofa?
Ni hayo tu.
Ghafla upande wa pili tukamuona Dada Poa akiburutwa na jamaa huku akitukanwa matusi yote. Mimi mwenyewe Mafia yaani ule hela yangu halafu unataka kuniibia?
Yule Dada poa akaburuzwa mpaka nyuma ya gari usawa wa tairi. Jamaa akaanza kumkojolea mkojo halafu wazee wa tungi kama mnavyojua mkojo wa pombe unavyokua mwingi yule Dada alikojolewa zaidi ya mkojo lita moja na akaachwa palepale amelowa mkojo kichwani mpaka mabegani.
Nimeamua kuandika hili tukio ili kuwakumbusha tuwe tunaridhika na kile tunachopata. Yaani Ofa upewe na unataka na kumuibia aliyekupa ofa?
Ni hayo tu.