Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
😂 duuh hii kali..kumbe nimemsema mtu humu!!😂 ikabidi ununue hakukua na namna..hiyo ni pesa kidogoHuyu mimi 😆 mpaka kuna siku yakanikuta supermarket moja nikauziwa nido efu 14 badala ya efu 11/12
Pesa kidogo tu, unaanza kutusimanga tuliopanga chumba kimoja eti tunaishi stoo 🤣🤣pesa kidogo chumba na sebule umeanza kuita appartment
HahahaaaPesa kidogo tu ushaanza kumwita Mungu 'gosh' utasikia ooh my gosh[emoji38][emoji38]
🤔ooh no my love is that yu?Pesa kidogo tu mkate unapaka Jam.
GENTAMYCINEPesa kidogo unaanza kuita wengine mapopoma
Pesa kidogo tu unaanza kuongea lugha ya mabeberu [emoji38][emoji848]ooh no my love is that yu?
Aah Tafadhali sana usichonganishe na GENTAMYCINE
Hahaha lolPesa kidogo tu unaacha kupiga punyeto.