Pre GE2025 Pesa ndizo zitakazowafarakanisha viongozi waandamizi wa CHADEMA na kuisambaratisha kabisa kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba

Pre GE2025 Pesa ndizo zitakazowafarakanisha viongozi waandamizi wa CHADEMA na kuisambaratisha kabisa kabla ya uchaguzi mkuu Oktoba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.

Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimejigeuza ni taasisi ya fedha na kujikita zaidi katika kuhakikisha inatumia njia zote kupata pesa kwaajili ya matumizi ya viongozi wake waandamizi na kuachana kabisaa na mambo ya kuchochea na kutetea haki, uhuru, usawa na Demokrasia, na kufikia hatua mpaka ya kupuuza na kususia uchaguzi ili kujiepusha na kushika dola na kuunda serikali na kuongoza nchi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025

Chadema chini ya uongozi mpya haitaki kabisa kuskia wala kujihusisha na masuala ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi, bali inataka kushika pesa tu kwa namna zote zile kwa manufaa ya HQ.

Sasa kwa hali ilivyo,
Ni wazi wahamasishaji na wasimamizi wa mfumo wa ukusanyaji wa pesa hizo wote ni wajanja wa mjini, hawaaminiani lakini pia hawaaminiki hata kwa wanachadema wenyewe na wanainchi kwa ujumla na ndiyo maana hata zoezi la uchangiaji linaenda kwa mwendo wa kobe. Ni kwasababu waliowekwa mstari wa mbele katika uhamasishaji hawaaminiki kulingana na historia mbovu za utapeli na upigaji walizonazo.

Matumizi ya pesa, kuzidiana kete kwenye kuzichota na kuzitafuna, ndiko hasa kutawafarakanisha na kuwasambaratisha hao wangwana, na hapo wanachadema wataanza kujua na kufahamu mambo mengi kuhusu michango hii ya pesa kwamba ilikua ni utapeli na ililenga kumnufaisha watu binafsi na sio chama.

Kuna kila dalili kwamba wapo watakao sepalea ughaibuni na mlungula wa maana wa wananchi na hapo ndipo itakua chanzo cha kujua mengi zaidi kwasasababu wataanza kuvuana nguo wao kwa wao, na kupelekea, the end of chadema in Tanzanian political scene. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Sawa sasa Nyani wa ccm so ndo ufurahi chadema ikifa...
 
Wajinga ndio Waliwao. Muda ni Mwalimu Mzuri . Kutakuwa na kilio kikubwa sana kutokea Ufipa . Wewe angalia tu watu waliombelembele kuchangisha michango. Kwanza hawana shughuli maalumu za kuwaingizia pesa ya kila siku. Kwa hiyo hapo wamepata mradi😄😄
 
Kwani zile jezi na michango ya kuwapa wasanii ni za chadema au zenu
 
Kwani zile jezi na michango ya kuwapa wasanii ni za chadema au zenu
Gentleman,
kama hujaelewa hoja sema sijaelewa ili usaidiwe kuongeza uelewa na ufahamu juu ya hoja mahususi mezani 🐒
 
Wewe bila shaka ni mlozi, kwanini unaiandama Chadema kiasi hiki? Who the hell are you?
kwanini unapata makasiriko na mihemko kiasi hicho gentleman?

ni hoja imekuzidi uwezo ama niaje?🐒
 
Sawa sasa Nyani wa ccm so ndo ufurahi chadema ikifa...
ongeza uelewa na ufahamu bila makasiriko gentleman, sio jambo la kufurahisha hili kwasabb maafa yanaweza kutokea pia 🐒
 
Gentleman,
kama hujaelewa hoja sema sijaelewa ili usaidiwe kuongeza uelewa na ufahamu juu ya hoja mahususi mezani 🐒
Mjinga kama wewe ndio unaanza kueleweshwa kabla ujaelewa
 
Wajinga ndio Waliwao. Muda ni Mwalimu Mzuri . Kutakuwa na kilio kikubwa sana kutokea Ufipa . Wewe angalia tu watu waliombelembele kuchangisha michango. Kwanza hawana shughuli maalumu za kuwaingizia pesa ya kila siku. Kwa hiyo hapo wamepata mradi😄😄
majambazi matapeli watupu 🤣
 
Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.

Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimejigeuza ni taasisi ya fedha na kujikita zaidi katika kuhakikisha inatumia njia zote kupata pesa kwaajili ya matumizi ya viongozi wake waandamizi na kuachana kabisaa na mambo ya kuchochea na kutetea haki, uhuru, usawa na Demokrasia, na kufikia hatua mpaka ya kupuuza na kususia uchaguzi ili kujiepusha na kushika dola na kuunda serikali na kuongoza nchi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025

Chadema chini ya uongozi mpya haitaki kabisa kuskia wala kujihusisha na masuala ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi, bali inataka kushika pesa tu kwa namna zote zile kwa manufaa ya HQ.

Sasa kwa hali ilivyo,
Ni wazi wahamasishaji na wasimamizi wa mfumo wa ukusanyaji wa pesa hizo wote ni wajanja wa mjini, hawaaminiani lakini pia hawaaminiki hata kwa wanachadema wenyewe na wanainchi kwa ujumla na ndiyo maana hata zoezi la uchangiaji linaenda kwa mwendo wa kobe. Ni kwasababu waliowekwa mstari wa mbele katika uhamasishaji hawaaminiki kulingana na historia mbovu za utapeli na upigaji walizonazo.

Matumizi ya pesa, kuzidiana kete kwenye kuzichota na kuzitafuna, ndiko hasa kutawafarakanisha na kuwasambaratisha hao wangwana, na hapo wanachadema wataanza kujua na kufahamu mambo mengi kuhusu michango hii ya pesa kwamba ilikua ni utapeli na ililenga kumnufaisha watu binafsi na sio chama.

Kuna kila dalili kwamba wapo watakao sepalea ughaibuni na mlungula wa maana wa wananchi na hapo ndipo itakua chanzo cha kujua mengi zaidi kwasasababu wataanza kuvuana nguo wao kwa wao, na kupelekea, the end of chadema in Tanzanian political scene. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Kila kukicha mnaipigia ramli na haitokei mnajisikiaje?
 
Mjinga kama wewe ndio unaanza kueleweshwa kabla ujaelewa
kwamba jambazi ndio mkusanya pesa kweli gentleman?

huo si utapeli wa wazi kabisa ambao hauna mwisho mwema kabisa kwa chadema?🐒
 
Chadema kusambaratika ni furaha kwa CCM, acha isambaratike sasa
 
Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.

Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimejigeuza ni taasisi ya fedha na kujikita zaidi katika kuhakikisha inatumia njia zote kupata pesa kwaajili ya matumizi ya viongozi wake waandamizi na kuachana kabisaa na mambo ya kuchochea na kutetea haki, uhuru, usawa na Demokrasia, na kufikia hatua mpaka ya kupuuza na kususia uchaguzi ili kujiepusha na kushika dola na kuunda serikali na kuongoza nchi.

Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025

Chadema chini ya uongozi mpya haitaki kabisa kuskia wala kujihusisha na masuala ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi, bali inataka kushika pesa tu kwa namna zote zile kwa manufaa ya HQ.

Sasa kwa hali ilivyo,
Ni wazi wahamasishaji na wasimamizi wa mfumo wa ukusanyaji wa pesa hizo wote ni wajanja wa mjini, hawaaminiani lakini pia hawaaminiki hata kwa wanachadema wenyewe na wanainchi kwa ujumla na ndiyo maana hata zoezi la uchangiaji linaenda kwa mwendo wa kobe. Ni kwasababu waliowekwa mstari wa mbele katika uhamasishaji hawaaminiki kulingana na historia mbovu za utapeli na upigaji walizonazo.

Matumizi ya pesa, kuzidiana kete kwenye kuzichota na kuzitafuna, ndiko hasa kutawafarakanisha na kuwasambaratisha hao wangwana, na hapo wanachadema wataanza kujua na kufahamu mambo mengi kuhusu michango hii ya pesa kwamba ilikua ni utapeli na ililenga kumnufaisha watu binafsi na sio chama.

Kuna kila dalili kwamba wapo watakao sepalea ughaibuni na mlungula wa maana wa wananchi na hapo ndipo itakua chanzo cha kujua mengi zaidi kwasasababu wataanza kuvuana nguo wao kwa wao, na kupelekea, the end of chadema in Tanzanian political scene. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Mufti, sijui una miaka mingapi ila nina uhakika utaiacha hapa duniani Chadema.
 
Back
Top Bottom