Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What the pessimistic thought!!Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.
Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimejigeuza ni taasisi ya fedha na kujikita zaidi katika kuhakikisha inatumia njia zote kupata pesa kwaajili ya matumizi ya viongozi wake waandamizi na kuachana kabisaa na mambo ya kuchochea na kutetea haki, uhuru, usawa na Demokrasia, na kufikia hatua mpaka ya kupuuza na kususia uchaguzi ili kujiepusha na kushika dola na kuunda serikali na kuongoza nchi.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Chadema chini ya uongozi mpya haitaki kabisa kuskia wala kujihusisha na masuala ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi, bali inataka kushika pesa tu kwa namna zote zile kwa manufaa ya HQ.
Sasa kwa hali ilivyo,
Ni wazi wahamasishaji na wasimamizi wa mfumo wa ukusanyaji wa pesa hizo wote ni wajanja wa mjini, hawaaminiani lakini pia hawaaminiki hata kwa wanachadema wenyewe na wanainchi kwa ujumla na ndiyo maana hata zoezi la uchangiaji linaenda kwa mwendo wa kobe. Ni kwasababu waliowekwa mstari wa mbele katika uhamasishaji hawaaminiki kulingana na historia mbovu za utapeli na upigaji walizonazo.
Matumizi ya pesa, kuzidiana kete kwenye kuzichota na kuzitafuna, ndiko hasa kutawafarakanisha na kuwasambaratisha hao wangwana, na hapo wanachadema wataanza kujua na kufahamu mambo mengi kuhusu michango hii ya pesa kwamba ilikua ni utapeli na ililenga kumnufaisha watu binafsi na sio chama.
Kuna kila dalili kwamba wapo watakao sepalea ughaibuni na mlungula wa maana wa wananchi na hapo ndipo itakua chanzo cha kujua mengi zaidi kwasasababu wataanza kuvuana nguo wao kwa wao, na kupelekea, the end of chadema in Tanzanian political scene.
Mungu Ibariki Tanzania.
Ni vizur kuipigania chadema hongera sana.Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.
Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimejigeuza ni taasisi ya fedha na kujikita zaidi katika kuhakikisha inatumia njia zote kupata pesa kwaajili ya matumizi ya viongozi wake waandamizi na kuachana kabisaa na mambo ya kuchochea na kutetea haki, uhuru, usawa na Demokrasia, na kufikia hatua mpaka ya kupuuza na kususia uchaguzi ili kujiepusha na kushika dola na kuunda serikali na kuongoza nchi.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Chadema chini ya uongozi mpya haitaki kabisa kuskia wala kujihusisha na masuala ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi, bali inataka kushika pesa tu kwa namna zote zile kwa manufaa ya HQ.
Sasa kwa hali ilivyo,
Ni wazi wahamasishaji na wasimamizi wa mfumo wa ukusanyaji wa pesa hizo wote ni wajanja wa mjini, hawaaminiani lakini pia hawaaminiki hata kwa wanachadema wenyewe na wanainchi kwa ujumla na ndiyo maana hata zoezi la uchangiaji linaenda kwa mwendo wa kobe. Ni kwasababu waliowekwa mstari wa mbele katika uhamasishaji hawaaminiki kulingana na historia mbovu za utapeli na upigaji walizonazo.
Matumizi ya pesa, kuzidiana kete kwenye kuzichota na kuzitafuna, ndiko hasa kutawafarakanisha na kuwasambaratisha hao wangwana, na hapo wanachadema wataanza kujua na kufahamu mambo mengi kuhusu michango hii ya pesa kwamba ilikua ni utapeli na ililenga kumnufaisha watu binafsi na sio chama.
Kuna kila dalili kwamba wapo watakao sepalea ughaibuni na mlungula wa maana wa wananchi na hapo ndipo itakua chanzo cha kujua mengi zaidi kwasasababu wataanza kuvuana nguo wao kwa wao, na kupelekea, the end of chadema in Tanzanian political scene.
Mungu Ibariki Tanzania.
Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.
Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimejigeuza ni taasisi ya fedha na kujikita zaidi katika kuhakikisha inatumia njia zote kupata pesa kwaajili ya matumizi ya viongozi wake waandamizi na kuachana kabisaa na mambo ya kuchochea na kutetea haki, uhuru, usawa na Demokrasia, na kufikia hatua mpaka ya kupuuza na kususia uchaguzi ili kujiepusha na kushika dola na kuunda serikali na kuongoza nchi.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Chadema chini ya uongozi mpya haitaki kabisa kuskia wala kujihusisha na masuala ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi, bali inataka kushika pesa tu kwa namna zote zile kwa manufaa ya HQ.
Sasa kwa hali ilivyo,
Ni wazi wahamasishaji na wasimamizi wa mfumo wa ukusanyaji wa pesa hizo wote ni wajanja wa mjini, hawaaminiani lakini pia hawaaminiki hata kwa wanachadema wenyewe na wanainchi kwa ujumla na ndiyo maana hata zoezi la uchangiaji linaenda kwa mwendo wa kobe. Ni kwasababu waliowekwa mstari wa mbele katika uhamasishaji hawaaminiki kulingana na historia mbovu za utapeli na upigaji walizonazo.
Matumizi ya pesa, kuzidiana kete kwenye kuzichota na kuzitafuna, ndiko hasa kutawafarakanisha na kuwasambaratisha hao wangwana, na hapo wanachadema wataanza kujua na kufahamu mambo mengi kuhusu michango hii ya pesa kwamba ilikua ni utapeli na ililenga kumnufaisha watu binafsi na sio chama.
Kuna kila dalili kwamba wapo watakao sepalea ughaibuni na mlungula wa maana wa wananchi na hapo ndipo itakua chanzo cha kujua mengi zaidi kwasasababu wataanza kuvuana nguo wao kwa wao, na kupelekea, the end of chadema in Tanzanian political scene.
Mungu Ibariki Tanzania.
Relax gentleman,Unaonekana hujui chochote kabisa kinachohusiana na Mfuko wa Rais na matumizi yake .
Hivi unajua matimizi ya mkuu wa nchi kwa siku moja ni makubwa kuliko karuzuku ka mwezi mzima ka Chadema .
Uliwahi kusikia Fungu la Ikulu lilijadiliwa Bungeni wewe.
Yaani hivyo vitone vya Chadema vinakutoa roho lakini hujawahi kuuliza pesa za kusafirisha wapambe na Machawa kwenda Dubai kushangaa bandari yao ili kuja kuwauzia ya kwetu.
Vijana wa kizazi hiki uwezo wana uwezo mdogo sana wa kufikiri.
Sijui tutakuja kupata watu wenye uwezo wa kuandika makala kwenye magazeti ya kiuchunguzi kama akina Jenerali Ulimwengu au kutunga vitabu kama Julius Kambarage Nyerere na hata akina Shaaban Robert na wengine .
Yaani kijana wa leo msomi wa digrii mbili lakini chawa wa mtu asiye hata na diploma .
Tutajenga taifa la wachuuzi na manamba na Machawa wa kupamba watawala .
Aibu kubwa sana
🌈 Hili ni dua la kuku.Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.
Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, kimejigeuza ni taasisi ya fedha na kujikita zaidi katika kuhakikisha inatumia njia zote kupata pesa kwaajili ya matumizi ya viongozi wake waandamizi na kuachana kabisaa na mambo ya kuchochea na kutetea haki, uhuru, usawa na Demokrasia, na kufikia hatua mpaka ya kupuuza na kususia uchaguzi ili kujiepusha na kushika dola na kuunda serikali na kuongoza nchi.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Chadema chini ya uongozi mpya haitaki kabisa kuskia wala kujihusisha na masuala ya kushika dola, kuunda serikali wala kuongoza nchi, bali inataka kushika pesa tu kwa namna zote zile kwa manufaa ya HQ.
Sasa kwa hali ilivyo,
Ni wazi wahamasishaji na wasimamizi wa mfumo wa ukusanyaji wa pesa hizo wote ni wajanja wa mjini, hawaaminiani lakini pia hawaaminiki hata kwa wanachadema wenyewe na wanainchi kwa ujumla na ndiyo maana hata zoezi la uchangiaji linaenda kwa mwendo wa kobe. Ni kwasababu waliowekwa mstari wa mbele katika uhamasishaji hawaaminiki kulingana na historia mbovu za utapeli na upigaji walizonazo.
Matumizi ya pesa, kuzidiana kete kwenye kuzichota na kuzitafuna, ndiko hasa kutawafarakanisha na kuwasambaratisha hao wangwana, na hapo wanachadema wataanza kujua na kufahamu mambo mengi kuhusu michango hii ya pesa kwamba ilikua ni utapeli na ililenga kumnufaisha watu binafsi na sio chama.
Kuna kila dalili kwamba wapo watakao sepalea ughaibuni na mlungula wa maana wa wananchi na hapo ndipo itakua chanzo cha kujua mengi zaidi kwasasababu wataanza kuvuana nguo wao kwa wao, na kupelekea, the end of chadema in Tanzanian political scene.
Mungu Ibariki Tanzania.
Unajenga hoja juu ya misingi ya pressuppositions?at least you have useless intellectual thinking gentleman 🐒
Nasema hivi, tulia 🫵🌈Gentleman,
kwamba vijana wa kiume ndani ya chama hicho watakaokua tayari kuolewa ng'ambo watapatiwa kazi huko huko right?🐒
Relax gentleman,
kisha jadili hoja kwa mifano halisi ambayo kiukweli hakuna na haipo kabisa,
hawa vibaka na majambazi matapeli wanakwenda kuisambaratisha chadema wakigombania hizo pesa wanazokusanya kitapeli kwa wananchi 🐒
akili za kuambiwa changanya na zako gentleman 🐒CAG atatuambia mwakani .
Lakini pia kuwadanganya wananchi kuwa kuna uchaguzi ni kuwatafutia kifo watu hata kama ni wawili lakini tumechoka kuona mashetani wa CCM wakiua watu wanaotumia haki yao kupiga na kupigiwa kura .
Sasa ili kuepusha maafa ni bora Chadema wakae pembeni au kuuawa wakipinga uhuni wakati wa uchaguzi lakini kwa sheria hizi ni bora kabisa wauaji CCM waendelee wenyewe.
Fedha za dhulma na madaraka nje ya demokrasia yanawapa CCM kiburi .
Lisu ni mtu asiyependa kufanya makosa ya jinai ndio maana hataki kujihusisha na uchaguzi wenye makosa mengi ya jinai .
Mkoloni alikua ni bora mara milioni kuliko hii CCM ya wakoloni kutoka Zanzibar na omani.
CCM wapo kishari sana ndio maana wanafurahia kuona damu za watu zikimwagwa .
Nabii Issah bim Mariam au Yesu aliwahi kusema Msishindane na mtu mwovu.
Wewe ni pandikizi(buu) tu.Gentleman,
kama hujaelewa hoja sema sijaelewa ili usaidiwe kuongeza uelewa na ufahamu juu ya hoja mahususi mezani 🐒
Hakuna ukweli unaozungumza labda mipasho.Kazi yangu ni moja tu gentleman,
ueleza ukweli na kuwafungua maskio yenu dhidi ya kitakachotokea chadema baada ya utapeli huu wa pesa za watu maskini unaoendelea 🐒