Nakubaliana na wewe kuwa pesa muhimu sana hasa kwa mwanamme kuwa nazo...na ile "kutosha" iwe kwa kiwango cha mwanamke
acha mambo ya ulinganifu (relativity) wewe, pesa ni pesa tu na hakuna mwanamke atakayesema eti pesa zimetosha hivyo dawa ni kuwa nazo nyingi ili penzi liendesheke: malazi, mavazi, maakuli, matibabu, matembezi, masomo n.k.
sina pesa ndio maana ulinikataa
Aaaah kumbe najua kama huna pesa? Hebu nkumbushe :A S-confused1:
[TABLE="width: 90%, align: center"]
[TR]
[TD]Pesa zasumbua roho yangu[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pesa zasumbua roho yangu[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nami nifanyeje, kijana mwenzio,[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ningekuoa Malaika.[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nashindwa na mali sina, we,[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ningekuoa Malaika.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hahahaa unaniangusha na wewe...[TABLE="width: 90%, align: center"]
[TR]
[TD]Pesa zasumbua roho yangu[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pesa zasumbua roho yangu[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nami nifanyeje, kijana mwenzio,[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ningekuoa Malaika.[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nashindwa na mali sina, we,[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ningekuoa Malaika.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Sasa mbona NN aliniambiaga kuna I20 za kufoji, nisije nikaonyeshwa bank statement ya ofisi! Dating is as complicated as a phd!
zali la mentali!
naomba namba yake!
Hahahaa unaniangusha na wewe...
Kwani hazitoshi kununua apartment masaki au o'bey? (kwa kianzio tu)