matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Leo nimemkumbuka anko wangu aliyefariki kabla sijqanza hata vidudu lqkini nilikiwa najitambua.
Uncle akiwa darasa la tano, alikuwa amejijengea chumba chake cha kulala hapo nyumbani. Alikuwa na marafiki hadi wazungu alipokuwa form 1. Alikuwa anafuga kuku, bata na na anapiga pesa huku shuleni yuko vizuri hadi alipofariki kwa kuvimba tumbo ghafla ( ilisadikiwa alitiwa sumu na majirani au alipata shambulizi la kitamaduni akiwa form 1 mwishoni)
Hii iimenifanya leo nijikumbushe, hivi ni lini nilipata pesa yangu binafsi.
Binafsi ilikuwa darasa la nne, mvua kubwa ilinyesha, nikatoroka nyumbani kuingia korogoni na chepe, nilikusanya mchanga na mabro wa kita. rundo langu nilimuuzia mqma Dani kwa Tsh 2000.
Hiyo ndio pesa yangu ya kwanza kuipata kwa kujitafutia mwenyewe.
Matumizi
Tsh 100 nilienda kunyoa kwa fundi .
Tsh1900, niliagiza pipi,soda, mandazi,, vibaragara, bajia nikaarika washkaji tukavula kurudisha afya iliyopotea wakati wa utumishi ule. Pesa hiyo ilotakiwa iishe siku hiyohiyo maana nyumbani wangejua ningepigwa zaidi ya Bonge aliyenurika kutekwa kiluvya.
Ni hayo tu.
Mara yako ya kwanza kupata pesa kwa jasho yako ilikuwa ni lini na wapi na ilikuwaje mkuu.
Karibu
Uncle akiwa darasa la tano, alikuwa amejijengea chumba chake cha kulala hapo nyumbani. Alikuwa na marafiki hadi wazungu alipokuwa form 1. Alikuwa anafuga kuku, bata na na anapiga pesa huku shuleni yuko vizuri hadi alipofariki kwa kuvimba tumbo ghafla ( ilisadikiwa alitiwa sumu na majirani au alipata shambulizi la kitamaduni akiwa form 1 mwishoni)
Hii iimenifanya leo nijikumbushe, hivi ni lini nilipata pesa yangu binafsi.
Binafsi ilikuwa darasa la nne, mvua kubwa ilinyesha, nikatoroka nyumbani kuingia korogoni na chepe, nilikusanya mchanga na mabro wa kita. rundo langu nilimuuzia mqma Dani kwa Tsh 2000.
Hiyo ndio pesa yangu ya kwanza kuipata kwa kujitafutia mwenyewe.
Matumizi
Tsh 100 nilienda kunyoa kwa fundi .
Tsh1900, niliagiza pipi,soda, mandazi,, vibaragara, bajia nikaarika washkaji tukavula kurudisha afya iliyopotea wakati wa utumishi ule. Pesa hiyo ilotakiwa iishe siku hiyohiyo maana nyumbani wangejua ningepigwa zaidi ya Bonge aliyenurika kutekwa kiluvya.
Ni hayo tu.
Mara yako ya kwanza kupata pesa kwa jasho yako ilikuwa ni lini na wapi na ilikuwaje mkuu.
Karibu