Pesa wanayolipwa Polisi Trafiki na wafanyakazi wa TRA haiendani na maisha yao

Pesa wanayolipwa Polisi Trafiki na wafanyakazi wa TRA haiendani na maisha yao

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Hawa watu wanaofanya kazi katika hizo sekta Mara kwa Mara huwa nakutana nao.

Ila kinachonishangaza kwao, kwa pesa wanazopata ukiondoa mishahara wanayolipwa hawa jamaa, wanapata pesa nyingi sana.

Sasa maendeleo Yao na Pesa wanazopata haviendani, pia usiombe ukutanenao ukiwa na mzigo, kweli unavibari Vyote, ila lazima waombe Pesa, tena wanapanga kiasi wanachotaka wao.

Jana nilienda kwenye msiba wa Polisi mstaafu alikuwa Trafic kufika hapo kwake. Nilijiuliza maswali mengi sana zile pesa, wanazochukua barabarani wanapeleka wapi.

Kila sekunde inayokatika wanachukua Pesa, muda huu nachukua Pesa.(POLISI/TRAFIC & TRA.
 
Mishahara yao haijulikani ndo maana wanakazia barabarani
 
Ila tuongee ukwel tu wakuu Sasa hv traffic kupokea rusha imekuwa kawaida sana Tena sanaaaa ..
 
Mara nyingi mafanikio ya mtu si kile anachoingiza hasa ktk eneo lake la kazi.

Matumizi sahihi yanajenga Maisha mazuri.

Wengi wa hao watu matumizi yao ni makubwa ktk vitu vya anasa.

Mfn kuna kijana kaajiriw juzi kavuta subaru ya mil 40 bila shaka kwa kutumia Mkopo.

Huyu ana deni la 40 mil.. tu assume hiyo gari kaingia mkenge ina shida ya injin etc.. atakuj iuza mil 20 tyr kuna 20mil imepotea kijinga.

Tuseme pia ni malaya na mpenda sifa.

Kila weekend anateketeza 500k

Kwa mwez ni mil 2 (Mshahara wake umeenda)

Yaan matumizi flan hiv ya kijinga jinga ndio yanakwamisha hawa watu
 
Mara nyingi mafanikio ya mtu si kile anachoingiza hasa ktk eneo lake la kazi.

Matumizi sahihi yanajenga Maisha mazuri.

Wengi wa hao watu matumizi yao ni makubwa ktk vitu vya anasa.

Mfn kuna kijana kaajiriw juzi kavuta subaru ya mil 40 bila shaka kwa kutumia Mkopo.

Huyu ana deni la 40 mil.. tu assume hiyo gari kaingia mkenge ina shida ya injin etc.. atakuj iuza mil 20 tyr kuna 20mil imepotea kijinga.


Tuseme pia ni malaya na mpenda sifa..

Kila weekend anateketeza 500k

Kwa mwez ni mil 2 (Mshahara wake umeenda)

Yaan matumizi flan hiv ya kijinga jinga ndio yanakwamisha hawa watu
Sahii ndugu Yangu huwa nawaza, Ninavyo angaika, kutafuta Ridhiki Hawa jamaa wanazipata Pesa kila sekunde Biashara isiyo na mtaji
 
Ila tuongee ukwel tu wakuu Sasa hv traffic kupokea rusha imekuwa kawaida sana Tena sanaaaa ..
Hakuna wakati waliacha kuchukua rushwa na ikawa sio kawaida sana.
Kwa ujumla nchi imekuwa ya rushwa wakati wote sema kuna viongozi wengine wamekuwa wakijitapa sana bila uhalisia.
 
Hakuna wakati waliacha kuchukua rushwa na ikawa sio kawaida sana.
Kwa ujumla nchi imekuwa ya rushwa wakati wote sema kuna viongozi wengine wamekuwa wakijitapa sana bila uhalisia.
Hakikaa mkuu
 
Bado unaamini kuna watu wanapata laana kwenye hela😁😁.

Viongozi wote wa ccm wangekuwa vichaa,tafuta hela kaka.usiue mtu tu
Kwa kuwa unawaona majukwaani mbona matamko yao wengi wanaonekana ni Vichaa hata sheria wanazopitisha Mjengoni unaona ni za watu Vichaa au ukichaa Mkuu unauchukulia mpaka waokote makopo..
 
Back
Top Bottom