FikraNdefu
Member
- Dec 22, 2014
- 17
- 6
nini hiki sasa?Mwaka 1909.....
Aaaah baba, wana history wanakuambia miaka hiyo Uislamu ndio ulikua umetawala katika kanda ya pwani iliyo staarabika.
Kabla ya Baba wa Taifa kuja kuharibu staarabu za watu na kutanguliza u RC mbele.
Leo hii TZ nzima tungelikua Waislamu.
Maisha yangelikua Saaafi.
Hakuna pombe, hakuna uzinzi.
Subhanallah
Wabantu bana, yani unaona tamaduni za wageni ndio ustaarabu wakati tulikua na tamaduni zetu. Hao waarabu na wazungu walituletea majanga tu. Chuki zako kwa Baba wa taifa zitakupa ugonjwa wa moyo wewe binafsi.Mwaka 1909.....
Aaaah baba, wana history wanakuambia miaka hiyo Uislamu ndio ulikua umetawala katika kanda ya pwani iliyo staarabika.
Kabla ya Baba wa Taifa kuja kuharibu staarabu za watu na kutanguliza u RC mbele.
Leo hii TZ nzima tungelikua Waislamu.
Maisha yangelikua Saaafi.
Hakuna pombe, hakuna uzinzi.
Subhanallah
JIBU ALICHOULIZA.. ACHA KUCHOMEKAMwaka 1909.....
Aaaah baba, wana history wanakuambia miaka hiyo Uislamu ndio ulikua umetawala katika kanda ya pwani iliyo staarabika.
Kabla ya Baba wa Taifa kuja kuharibu staarabu za watu na kutanguliza u RC mbele.
Leo hii TZ nzima tungelikua Waislamu.
Maisha yangelikua Saaafi.
Hakuna pombe, hakuna uzinzi.
Subhanallah
Zaidi ya laki moja sio mbaya itamsaidiaThamani yake ndogo sana. Angalia hapa Coin Value: East Africa German (Tanganyika) 1/2, 1, and 5 Heller 1904 to 1913
Kwel we Mcahro,,tumemilikishwa vitu tusivyovijua halaf tunajivunia,,kwel utumwa wa kiakil unatumalizaMwaka 1909.....
Aaaah baba, wana history wanakuambia miaka hiyo Uislamu ndio ulikua umetawala katika kanda ya pwani iliyo staarabika.
Kabla ya Baba wa Taifa kuja kuharibu staarabu za watu na kutanguliza u RC mbele.
Leo hii TZ nzima tungelikua Waislamu.
Maisha yangelikua Saaafi.
Hakuna pombe, hakuna uzinzi.
Subhanallah
Hahahahanini hiki sasa?
AMUN RAWabantu bana, yani unaona tamaduni za wageni ndio ustaarabu wakati tulikua na tamaduni zetu. Hao waarabu na wazungu walituletea majanga tu. Chuki zako kwa Baba wa taifa zitakupa ugonjwa wa moyo wewe binafsi.
Siyo za kuuaga umasikini. Labda kama kuna soko jingine la zaidi.Zaidi ya laki moja sio mbaya itamsaidia