Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Wadau naomba kujuzwa, hivi hii pesa inayoombwa na makarani mahakama za mwanzo unapoenda kufungua kesi ya mirathi ni rushwa au ni wizi.
Tatizo ni kwamba pesa hiyo inayolipwa haitolewi stakabadhi ya serikari wala aina nyingine ya stakabadhi.
Kama pesa hii ni tozo halali kwanini isiwe rasmi na iratibiwe.
Swali lingine la kujiuliza ni je mahakimu wanajua ya kwamba wateja wao wanaombwa wafanye malipo hayo yasiyotolewa stakabadhi. Na kama wanajua je wao ni wahusika wa huo utapeli/wizi wa kuaminika au wa lazima?
Tatizo ni kwamba pesa hiyo inayolipwa haitolewi stakabadhi ya serikari wala aina nyingine ya stakabadhi.
Kama pesa hii ni tozo halali kwanini isiwe rasmi na iratibiwe.
Swali lingine la kujiuliza ni je mahakimu wanajua ya kwamba wateja wao wanaombwa wafanye malipo hayo yasiyotolewa stakabadhi. Na kama wanajua je wao ni wahusika wa huo utapeli/wizi wa kuaminika au wa lazima?