bigmen
Senior Member
- Jul 3, 2020
- 147
- 325
Sio mapenzi sio pesa vyote hivi vinanisumbua akili yangu, ila kwa suala la pesa nazani limefika mwisho wa kusumbua akili yangu..
Maana kwa jinsi hali ilivo ngumu nimeongea na ndugu zangu wanipatie pesa za mazishi yangu nitumie, halafu nikifa nitajua mwenyewe cha kufanya.😆😆😆
Maana kwa jinsi hali ilivo ngumu nimeongea na ndugu zangu wanipatie pesa za mazishi yangu nitumie, halafu nikifa nitajua mwenyewe cha kufanya.😆😆😆