Pesa ya mpenzi wako haikuhusu

Pesa ya mpenzi wako haikuhusu

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Hata siku moja usitegemee wala kutarajia hela kutoka kwa mpenzi wako, iwe ni kuomba au kumkopa, na ieleweke ya kwamba hapa nazilenga jinsia zote mbili.

Zingatio zaidi kwa upande wa mwanaume, jiepushe kujenga mahusiano na broke woman kwa sababu atakua liability kwako.

Binafsi nikiwa katika mahusiano na mwanamke yoyote siwezi kumuomba hela, kumkopa, kujihusisha kwa namna yoyote na hela yake au kuruhusu anilipie bill zangu.

Nataka abaki na hela zake kwa ajiri ya matumizi yake ili aweze kujihudumia yeye mwenyewe mahitaji yake na kupanga bajeti ya mipango yake bila kuingiliwa na chochote.

Hivyo hivyo kwake pia, na yeye asitarajie kupata gawio lolote kutoka kwenye hela yangu.

Najipa kipaumbele mimi mwenyewe, lengo ni kupiga vita umasikini, sio kujirudisha nyuma kimaendeleo ili nipate sifa za kijinga chini ya msemo wa kipumbavu eti "mwanamke anahitaji matunzo"

Sitaki ukaribu wowote na mwanamke ambae anaitaka hela yangu kwa sababu uyo mwanamke ni mwizi na kikwazo katika kutimiza lengo langu. Kwanza kwanini nimuhudumie girlfriend.!, hana ndugu, ni mtoto yatima au mlemavu asieweza kufanya kazi?

Kusaidiana kupo lakini iwe mutualy sio kanuni ya kwamba ni lazima mwanaume awe mtoaji na mwanamke awe mpokeaji, na kwenye kusaidiana uko kila mmoja amsaidie mwenzake kwa terms atakazoona zinafaa sio kuwekeana sharti la lazima.

Katika mahusiano ya boyfriend and girlfriend hakuna mwenye jukumu la kumuhudumia mwenzake.
 
Shida ya hawa dada zetu ni tamaa,

Yale mapokeo ya mwanaume kumfuga mwanamke yamewapumbaza,

Kwahiyo atahitaji hela yako hata pasipo ulazima.

Ni kama jinsi wanafunzi wanavyotengeneza visababu vya ajabu ili wapate hela za wazazi, au wanasiasa wanavyotumia ziara/marupu rupu mbali mbali kuibia umma.

Kuna mifumo imewekwa kuwalinda lakini wanaichakachua(They abuse the systems).

Ukifikiria hivyo utaona tatizo haliwezi kuisha.

Au naweza kuiweka hivi; 'Kupata mwanamke asiye omba omba ni kama kupata kiongozi muadilifu serikalini.'
 
Shida ya hawa dada zetu ni tamaa,

Yale mapokeo ya mwanaume kumfuga mwanamke yamewapumbaza,

Kwahiyo atahitaji hela yako hata pasipo ulazima.

Ni kama jinsi wanafunzi wanavyotengeneza visababu vya ajabu ili wapate hela za wazazi, au wanasiasa wanavyotumia ziara/marupu rupu mbali mbali kuibia umma.

Kuna mifumo imewekwa kuwalinda lakini wanaichakachua(They abuse the systems).

Ukifikiria hivyo utaona tatizo haliwezi kuisha.

Au naweza kuiweka hivi; 'Kupata mwanamke asiye omba omba ni kama kupata kiongozi muadilifu serikalini.'
Hayo mapokeo yalikua na mantiki zamani ambapo mwanamke aliwekwa pembeni katika nyanja zote za kimaendeleo lakini katika zama za leo ambazo mwanamke kapewa uhuru ana access zote za kutafuta hela, haya mapokeo ni outdated
 
Hata siku moja usitegemee wala kutarajia hela kutoka kwa mpenzi wako, iwe ni kuomba au kumkopa, na ieleweke ya kwamba hapa nazilenga jinsia zote mbili.

Zingatio zaidi kwa upande wa mwanaume, jiepushe kujenga mahusiano na broke woman kwa sababu atakua liability kwako.

Binafsi nikiwa katika mahusiano na mwanamke yoyote siwezi kumuomba hela, kumkopa, kujihusisha kwa namna yoyote na hela yake au kuruhusu anilipie bill zangu.

Nataka abaki na hela zake kwa ajiri ya matumizi yake ili aweze kujihudumia yeye mwenyewe mahitaji yake na kupanga bajeti ya mipango yake bila kuingiliwa na chochote.

Hivyo hivyo kwake pia, na yeye asitarajie kupata gawio lolote kutoka kwenye hela yangu.

Najipa kipaumbele mimi mwenyewe, lengo ni kupiga vita umasikini, sio kujirudisha nyuma kimaendeleo ili nipate sifa za kijinga chini ya msemo wa kipumbavu eti "mwanamke anahitaji matunzo"

Sitaki ukaribu wowote na mwanamke ambae anaitaka hela yangu kwa sababu uyo mwanamke ni mwizi na kikwazo katika kutimiza lengo langu. Kwanza kwanini nimuhudumie girlfriend.!, hana ndugu, ni mtoto yatima au mlemavu asieweza kufanya kazi?

Kusaidiana kupo lakini iwe mutualy sio kanuni ya kwamba ni lazima mwanaume awe mtoaji na mwanamke awe mpokeaji, na kwenye kusaidiana uko kila mmoja amsaidie mwenzake kwa terms atakazoona zinafaa sio kuwekeana sharti la lazima.

Katika mahusiano ya boyfriend and girlfriend hakuna mwenye jukumu la kumuhudumia mwenzake.
 

Attachments

  • 1728752379693.jpg
    1728752379693.jpg
    384.7 KB · Views: 7
Back
Top Bottom