Numero Uno
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 607
- 1,302
Wadangaji watakukimbilia pm mkuu ,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Dharura ,hua haipungui lakimbili-mimi
Jf hao watu tunao kweli?Wadangaji watakukimbilia pm mkuu ,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Wamejaa mkuu ..Jf hao watu tunao kweli?
Mtama kwa watoto wabichiPesa yako ya kwenye wallet ina matumizi gani? Je ni pesa yako tu ya akiba umeamua utembee nayo ama ni ya dharura,
Upo sahihi mkuu leo watoto wa umbwa nmewapooza kwa laki na nusu...Pesa kwenye wallet ni kwa ajili ya kumalizana na wazee wa kubambikia kesi za hovyo!huwezi kwenda jela kisa umeshindwa kuwapooza wapumbavu laki 2