Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawana hela ni matapeli tuSasa hivi ni hela .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana hela ni matapeli tuSasa hivi ni hela .
Pale lumumba ndio chuo kikongwe duniani kwa kufundisha ufisadi sugu,mwenyekiti wa mkoa wa dar ccm anatengeneza arv fekiMuosha huoshwa , hivyo ndivyo unavyoweza kusema .
Taarifa kutoka lumumba zinadokeza kwamba fungu lililotengwa kwa ajili ya sherehe za kuadhimisha miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwa ccm , chama kilicholeta kila aina ya dhiki nchini Tanzania hazijulikani ziliko na kuna tetesi kwamba zimepigwa na wajanja .
Hivi sasa juhudi za kusaka vyanzo vipya vya kuwezesha shughuli hiyo zinaendelea , huku kukiwa na juhudi kubwa sana za kuficha taarifa hii , hata hivyo wazalendo wachache waliomo lumumba kwa malengo maalum wamevujisha .
Nakala kwa VUTA NKUVUTE .
Kabisa, haters waamini au wasiamini..Watashugulikiwa tu
.....Wavujisha siri , usitegemee gazeti la uhuru kuandika haya .
Mbona uthubutu ata kuleta mapato na matumizi ya CDM
Vipi sherehe zipo ?Mbona uthubutu ata kuleta mapato na matumizi ya CDM