Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Habari ya majukumu watanzania wenzangu?
Kuna siku niliuliza taratibu za kufuatwa ili kumuona DC wadau humu walinielekeza na leo nimefanikiwa kuonana nae.
Lengo la uzi huu ni kutaka kushare nini kilinipeleka kwa DC na matokeo yake. Ukwel mi ni mhitim wa shahada ya uhasibu lakin nimekuwa najihusisha na ufugaji wa kuku wa asili na kilimo,kama kawaida kilio cha wengi ni mitaji ya kuanza biashara hivyo mimi nilienda kwa DC kupata taarifa ya namna gan yeye mkuu wa wilaya na idara zake za maendeleo wanaweza kuwasaidia vijana kupata mitaji.
Baada ya kumweleza sababu ya mimi kuwa pale ofisin kwake alinipa kimemo nikampe AFISA VIJANA WA WILAYA. Afisa vijana akanitaka nimweleze tena maelezo nliyotoa kwa mkuu wa wilaya na baada ya kumweleza akasema:
"Ni kwel kuna fungu la pesa la kuwawezesha vijana na wanapewa kwa riba ya 10% kwa mwaka".
1. Lazima muwe kundi la vijana 5 - 15.
2. Msajili kikundi chenu
3. Mjishughulishe na kaz yoyote halali ya kimaendeleo.
4. Mpeleke katiba ya kikundi, muhtasi wa kikao, mpango biashara, barua ya kuwatambulisha toka kwa mtendaji wa kijiji/mtaa na sh 5000 ya usajili.
6. mikopo hii haihitaji dhaman yoyote yaan ni free kabisa mambo ya hati ya nyumba/kiwanja,sijui kadi ya gar mara salary slip huku hakuna
Vijana wenzangu TAARIFA NI SILAHA KALI SANA KTK MAPAMBANO KULIKO HATA AK47 hivyo nawashauri nendeni ktk ofisi za maDC mkapate taarifa zaidi.
OMBI LANGU: Nisaidieni katiba yeyote ya kikundi inisaidie kuandaa yetu au jinsi ya kuandika katiba. Pls tuache kulalamika tupambane aiseee.
Kuna siku niliuliza taratibu za kufuatwa ili kumuona DC wadau humu walinielekeza na leo nimefanikiwa kuonana nae.
Lengo la uzi huu ni kutaka kushare nini kilinipeleka kwa DC na matokeo yake. Ukwel mi ni mhitim wa shahada ya uhasibu lakin nimekuwa najihusisha na ufugaji wa kuku wa asili na kilimo,kama kawaida kilio cha wengi ni mitaji ya kuanza biashara hivyo mimi nilienda kwa DC kupata taarifa ya namna gan yeye mkuu wa wilaya na idara zake za maendeleo wanaweza kuwasaidia vijana kupata mitaji.
Baada ya kumweleza sababu ya mimi kuwa pale ofisin kwake alinipa kimemo nikampe AFISA VIJANA WA WILAYA. Afisa vijana akanitaka nimweleze tena maelezo nliyotoa kwa mkuu wa wilaya na baada ya kumweleza akasema:
"Ni kwel kuna fungu la pesa la kuwawezesha vijana na wanapewa kwa riba ya 10% kwa mwaka".
1. Lazima muwe kundi la vijana 5 - 15.
2. Msajili kikundi chenu
3. Mjishughulishe na kaz yoyote halali ya kimaendeleo.
4. Mpeleke katiba ya kikundi, muhtasi wa kikao, mpango biashara, barua ya kuwatambulisha toka kwa mtendaji wa kijiji/mtaa na sh 5000 ya usajili.
6. mikopo hii haihitaji dhaman yoyote yaan ni free kabisa mambo ya hati ya nyumba/kiwanja,sijui kadi ya gar mara salary slip huku hakuna
Vijana wenzangu TAARIFA NI SILAHA KALI SANA KTK MAPAMBANO KULIKO HATA AK47 hivyo nawashauri nendeni ktk ofisi za maDC mkapate taarifa zaidi.
OMBI LANGU: Nisaidieni katiba yeyote ya kikundi inisaidie kuandaa yetu au jinsi ya kuandika katiba. Pls tuache kulalamika tupambane aiseee.