Bandugu kuna hili tatizo la noti zetu mpya za shilingi 500, 1000 na 2000 kutokuwa durable, hili tatizo ni kubwa sana hasa kwenye maeneo yenye transactions nyingi. hizi noti zinachakaa mapema sana na watu wanaanza kuzikataa tena angalau kwa Dar nimeona watu sio wabishi sana kuzipokea hizo noti kama zimechakaa, lakini mikoani tatizo ni kubwa mno. BOT wanaliona hili au ulikuwa mradi wa fisadi kuzitengeneza hivo analindwa? Au zilitengenezwa China kama ilivosemekana?