Pesa za UVIKO ziende hadi vyuoni

Pesa za UVIKO ziende hadi vyuoni

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hata vyuo viliathirika sana Na covid 19, vyuo binafsi ndio kabisaaa! Pesa tulizopata za kupunguza athali za corona zisiishie kupanua madarasa shule za msingi Na secondary tu, Bali ziende hadi kwenye vyuo vya kati Na vyuo vikuu ili kusaidia kuweka mazingira ya kupokea wanafunzi wwngi watakaotokana Na kupanua madarasa kwenye shule za msingi Na secondary ili kupokea wanafunzi wengi ambao watahitaji kwenda vyuoni.

Vyuo binafsi ni mdau muhimu sana kwenye elimu, lakini vimezoofishwa Na corona kiasi cha kushindwa kujiendesha. Wanalipa mishahara ya watumishi hata kama vyuo vimefungwa, wazazi wanashindwa kulipa ada za watoto wao hivyo vyuo kushindwa kijiendesha.

Pesa hizi za corona ziende vyuoni kujenga vyumba vya madarasa, maabara na karakana zaidi ili kujiandaa Na ongezeko LA wanafunzi watakaomaliza shule za secondary, kulipa mishahara, na kusomesha wahadhiri
 
Hizo pesa zimetolewa bila malengo?Hazikuwa na matumizi yaliyokusudiwa?
Au ni zawadi tu ambayo kila nchi inaamua itumie itakavyo?
COVID-19 inahusikaje na ujenzi wa madarasa moja kwa moja?
 
Hizo pesa zimetolewa bila malengo?Hazikuwa na matumizi yaliyokusudiwa?
Au ni zawadi tu ambayo kila nchi inaamua itumie itakavyo?
COVID-19 inahusikaje na ujenzi wa madarasa moja kwa moja?
Zilivyoletwa zikaingizwa kwenye mipango ya nchi kwa manufaa ya wote, maana katika nchi nyingine ziligawiwa wananchi kupambana Na lockdown effects. Sisi hatukuwa Na MTU aliyejilockdown kwa covid 19, tumpe nani? Tulinyimwa kwakuwa tulisema hatuna covid kwwtu.
 
Sisi ni dona kante vyuo tutajenga kwa pesa za ndani over"alisikika mlevi mmoja akisema kutoka UVCCM
 
Sisi ni dona kante vyuo tutajenga kwa pesa za ndani over"alisikika mlevi mmoja akisema kutoka UVCCM
MTU makini anapoongeza inlet lazima atanue outlet pia kwa wakati huohuo ili kuepusha crisis. Waziri anajisifu kuongeza madara ili watoto wote wadahirie form one lakini anasahau kutanua form 5 Na vyuo kwa wakati mmoja atakuwa anatenda kosa bila kufahamu, tumkumbushe tu sasa juu ya hili LA hesabu za mlinganyo Na uwiano wa ongezeko LA wqtoto form Na ongezeko la maabara, madarsa, walimu, nyumba za walimu, workshops za mazoezi huko form 5, vyuo vya kati Na vyuo vikuu pia.
 
Hata vyuo viliathilika sana Na covid 19, vyuo binafsi ndio kabisaaa! Pesa tulizopata za kupunguza athali za corona zisiishie kupanua madara shule za msingi Na secondary tu, Bali ziende hadi kwenye vyuo vya kati Na vyuo vikuu ili kusaidia kuweka mazingira ya kupokea wanafunzi wwngi watakaotokana Na kupanua madarasa kwenye shule za msingi Na secondary ili kupokea wanafunzi wengi ambao watahitaji kwenda vyuoni.

Vyuo binafsi ni mdau muhimu sana kwenye elimu, lakini vimezoofishwa Na corona kiasi cha kushindwa kujiendesha. Wanalipa mishahara ya watumishi hata kama vyuo vimefungwa, wazazi wanashindwa kulipa ada za watoto wao hivyo vyuo kushindwa kijiendesha.

Pesa hizi za corona ziende vyuoni kujenga vyumba vya madarasa, maabara na karakana zaidi ili kujiandaa Na ongezeko LA wanafunzi watakaomaliza shule za secondary, kulipa mishahara, na kusomesha wahadhiri
Tayari hilo limefanyika zimepelekwa fedha katika baadhi ya vyuo na kumbuka hazitoshelezi mahitaji zinapunguza changamoto tu na huko chini hali ndiyo mbaya zaidi
 
Tayari hilo limefanyika zimepelekwa fedha katika baadhi ya vyuo na kumbuka hazitoshelezi mahitaji zinapunguza changamoto tu na huko chini hali ndiyo mbaya zaidi
Sawa proportionality ni jambo ambalo huwezi kulitambuka na ukabaki salama.
 
Hata vyuo viliathirika sana Na covid 19, vyuo binafsi ndio kabisaaa! Pesa tulizopata za kupunguza athali za corona zisiishie kupanua madarasa shule za msingi Na secondary tu, Bali ziende hadi kwenye vyuo vya kati Na vyuo vikuu ili kusaidia kuweka mazingira ya kupokea wanafunzi wwngi watakaotokana Na kupanua madarasa kwenye shule za msingi Na secondary ili kupokea wanafunzi wengi ambao watahitaji kwenda vyuoni.

Vyuo binafsi ni mdau muhimu sana kwenye elimu, lakini vimezoofishwa Na corona kiasi cha kushindwa kujiendesha. Wanalipa mishahara ya watumishi hata kama vyuo vimefungwa, wazazi wanashindwa kulipa ada za watoto wao hivyo vyuo kushindwa kijiendesha.

Pesa hizi za corona ziende vyuoni kujenga vyumba vya madarasa, maabara na karakana zaidi ili kujiandaa Na ongezeko LA wanafunzi watakaomaliza shule za secondary, kulipa mishahara, na kusomesha wahadhiri
Au mimi ndio sielewi fedha za UVIKO19 hazishughuliki na mazuio, chanjo wala afya wala mitungi ya oskijeni angalau kujenga kiwanda isipokua zinapelekwa mara madarasa,elimu na sasa mnataka ziende vyuoni.

Sasa explicitly zinasaidiaje kupunguza makali au kupambana na uviko huo? Hela ya kununulia mbuzi wa xmass unaenda kuinunulia mbute na michembe kweli?



Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Zilivyoletwa zikaingizwa kwenye mipango ya nchi kwa manufaa ya wote, maana katika nchi nyingine ziligawiwa wananchi kupambana Na lockdown effects. Sisi hatukuwa Na MTU aliyejilockdown kwa covid 19, tumpe nani? Tulinyimwa kwakuwa tulisema hatuna covid kwwtu.
Sasa hivi mmepewa kwa sababu mna covid?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Au mimi ndio sielewi fedha za UVIKO19 hazishughuliki na mazuio, chanjo wala afya wala mitungi ya oskijeni angalau kujenga kiwanda isipokua zinapelekwa mara madarasa,elimu na sasa mnataka ziende vyuoni.

Sasa explicitly zinasaidiaje kupunguza makali au kupambana na uviko huo? Hela ya kununulia mbuzi wa xmass unaenda kuinunulia mbute na michembe kweli?



Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Wacha nikupe mfano huu, wewe na watoto wako nyumbani hajakula tangu jana kwa kukosa pesa, halafu unakutana na rafiki yako glossary akakupa mkononi sh. 10,000 unywe bia 5, je, utakunywa bia au utanunua chakula cha familia uponye njaa?

Hata mhudumu bar kama ana shda ya pedi halafu wewe unampa bia nyingi anywe atakuchukia sana. Anaona bora umpe 2000 mkononi atakushuru sana na kukuheshimu kuliko kumnywesha bia za sh 20,000.

Tumepewa pesa ya uviko lakini kuna idadi kubwa ya watoto waliofaulu lakini wanashindwa kwenda shule kwasababu ya ukosefu wa madarasa kutokana na ukosefu wa pesa.
 
Back
Top Bottom