Pesa za wanaofariki zilizopo kwenye mitandao ni manufaa kwa mitandao tu? Sidhani kama watu hufatilia

Pesa za wanaofariki zilizopo kwenye mitandao ni manufaa kwa mitandao tu? Sidhani kama watu hufatilia

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Hivi hizi pesa tunazoweka kwenye simu ikitokea umefariki hivi kweli kuna watu wanapata wakati kweli kufatilia pesa za marehemu kwenye simu maana naona kama hizi hela zinapotea kabisa. Sijui kuna utaratibu gani uwe mzuri na ushauri namna gani ifanyike.
 
Bungeni waliliongelea nilisikia Wana mpango wa kuziingiza ktk mifuko ya serikali
 
Kuna sheria wataalam watatueleza vizuri but ni kuwa kuna muda maalum umewekwa kisheria ambapo km akaunt haitatumika kwa muda huo(sijui ni miaka mingapi but nahisi sijui ni 10) pesa hizo zinarudishwa serikalini kupitia BOT hii inaapply pia kwa akaunti za bank ambao wahusika hawajajitokeza.
 
Back
Top Bottom