vip kuhusu changamoto ya umeme haiwezi kua chanzo mkuuSababu zinazotajwa kusuasua SGR kipande cha Dsm - Moro.
1. Pesa zinapigwa. Kampuni ya Yepi Merkezi inakiri kupokea pesa kwa kusuasua.
2. Hujuma/Rushwa - kutoka kwa wamiliki wa mabasi na malori wakiwemo viongozi wa serikali.
3. Udhaifu wa Rais kusimamia miradi ya nchi.
4...
Tuendelee kuliat ziko nyingi sanaa
Hivi huyu mwanamke alifikiri nini kutamka maneno haya? Alikuwa anajua lakini matokeo ya maneno yake haya?Rais aliagiza fedha zipigwe👇
View attachment 2796657
Kula urefu wa kamba yako, lakini usile sana utavimbiwaRais aliagiza fedha zipigwe👇
View attachment 2796657
Yepi wanDai serikali....pesa kibao ila wanaogopa kusemz ukweli woteSababu zinazotajwa kusuasua SGR kipande cha Dsm - Moro.
1. Pesa zinapigwa. Kampuni ya Yepi Merkezi inakiri kupokea pesa kwa kusuasua.
2. Hujuma/Rushwa - kutoka kwa wamiliki wa mabasi na malori wakiwemo viongozi wa serikali.
3. Udhaifu wa Rais kusimamia miradi ya nchi.
4...
Tuendelee kuliat ziko nyingi sanaa
Mama Abdul anaupiga mwingi hadi unamwagika.Sababu zinazotajwa kusuasua SGR kipande cha Dsm - Moro.
1. Pesa zinapigwa. Kampuni ya Yepi Merkezi inakiri kupokea pesa kwa kusuasua.
2. Hujuma/Rushwa - kutoka kwa wamiliki wa mabasi na malori wakiwemo viongozi wa serikali.
3. Udhaifu wa Rais kusimamia miradi ya nchi.
4...
Tuendelee kuliat ziko nyingi sanaa
Kwanza inakuaje Waziri wa fedha anafanya Biashara ya usafirishaji alafu anapewa nafasi ya kuwa mlipaji mkuu wa serikali!Sababu zinazotajwa kusuasua SGR kipande cha Dsm - Moro.
1. Pesa zinapigwa. Kampuni ya Yepi Merkezi inakiri kupokea pesa kwa kusuasua.
2. Hujuma/Rushwa - kutoka kwa wamiliki wa mabasi na malori wakiwemo viongozi wa serikali.
3. Udhaifu wa Rais kusimamia miradi ya nchi.
4...
Tuendelee kuliat ziko nyingi sanaa
Changamoto ya umeme nayo ni sehemu ya hujuma piavip kuhusu changamoto ya umeme haiwezi kua chanzo mkuu
Weka ushahidi kwenye hili dai lako.. Hujuma/Rushwa - kutoka kwa wamiliki wa mabasi na malori wakiwemo viongozi wa serikali.
Serikalii walipeni Yepi acheni uzwazwaaSababu zinazotajwa kusuasua SGR kipande cha Dsm - Moro.
1. Pesa zinapigwa. Kampuni ya Yepi Merkezi inakiri kupokea pesa kwa kusuasua.
2. Hujuma/Rushwa - kutoka kwa wamiliki wa mabasi na malori wakiwemo viongozi wa serikali.
3. Udhaifu wa Rais kusimamia miradi ya nchi.
4...
Tuendelee kuliat ziko nyingi sanaa
Wenye mabasi malori mnataka kuwalaza njaaTrenii toka Dar hadi Moro hadi leo haijaanza
Wajanja wanaziweka kwa fixed account ndo zikipita 6 month ndo wanalipa ,lakini mwingulu si amesema amna hela inayoibiwaSababu zinazotajwa kusuasua SGR kipande cha Dsm - Moro.
1. Pesa zinapigwa. Kampuni ya Yepi Merkezi inakiri kupokea pesa kwa kusuasua.
2. Hujuma/Rushwa - kutoka kwa wamiliki wa mabasi na malori wakiwemo viongozi wa serikali.
3. Udhaifu wa Rais kusimamia miradi ya nchi.
4...
Tuendelee kuliat ziko nyingi sanaa
Saa 100 namfananisha na giggy money aliyechangamka ghfla amekuwa na mambo ya kihuni mno ,kama sio rais wa nchiKula urefu wa kamba yako, lakini usile sana utavimbiwa