Pestana Pub- Dodoma

Pestana Pub- Dodoma

Ngoja tumfikishie taarifa Frank Mtei,mmiliki wa Pestana, aje asome ujumbe wake huku Mkuu!

By the way ni mtu msikivu,tu naamini atayafanyia kazi!

Tatizo ni hiyo Lugha.......itampiga chenga..ila ni kweli katika vitu vinavyoniboa pale ni huduma mbovu ya chakula....mara ya mwisho tuligombana sana na wahudumu na mpishi mkuu ....yaani unapewa menu unachagua..baada ya muda unaambiwa hicho chakula hakuna...then unachagua kingine ....unakaa muda mrefu wanaleta lakini kinakuwa na mapungufu wa vingine ambavyo vimeandikwa kwenye menu...yule mhudumu akaniambia pale tatizo ni Chef ..kwamba yuko Local sana hajazoea majiko ya sehemu kama zile...Halafu jamaa wanagombana kwa sauti kichizi na matusi kibao mpaka wateja tukawa tunajiuliza uongozi uko wapi pale....tangu siku ile sijawahi kuagiza chakula pale
 
Hata mimi nimeipenda hiyo misamiati ya kizungu. Ila nimeelewa kabisa kabisa story yake. anasema kuna pub hapo Dodoma ni nzuri sana, aliona hata wabunge na viongozi wengine wa serikali wanakula hapo pamoja na madreva wa magari ya mizigo. Halafu kuna wadada walilewa wakaanza kupigana hadharani, polisi wakawasomba, mmoja akang'atwa mgongoni na polisi kwa kuwa alikuwa ana kaidi kwenda kituoni, ikabidi polisi atumie risonabo pawa.....
(Raha sana mtu ukiwa unajua ki english thread kama hii unaisoma tu na kuelewa haraka bila shida yoyote)
[emoji23] [emoji23]
Hivyo hivyo mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja tumfikishie taarifa Frank Mtei,mmiliki wa Pestana, aje asome ujumbe wake huku Mkuu!

By the way ni mtu msikivu,tu naamini atayafanyia kazi!
Mwambieni ule mziki wake ni shida pia... Very poor atafute mziki/sound system unaoeleweka!
 
Back
Top Bottom