PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,994
- 1,291
Aaah!
Mshana vishaufu ndio vikoje hivyo?
Vile vinaning'inia kama k.amasiVile vanavyovaa puani nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah!
Mshana vishaufu ndio vikoje hivyo?
Vile vinaning'inia kama k.amasiVile vanavyovaa puani nk
Vile vinaning'inia kama k.amasi
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]Ni mapambo tuu mpaka ivaliwe kwa maana maalumhuu ni urembo wa kawaida
Hii ni alama ya satanism huyo kavaa serpent, nyoka wa eden![]()
Maana zingine kwa sie tusiojua saa zingine ni za kuharibu hali ya hewa bila kutarajiaNi mapambo tuu mpaka ivaliwe kwa maana maalumhuu ni urembo wa kawaida
Hii ni alama ya satanism huyo kavaa serpent, nyoka wa eden![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji14] [emoji13] [emoji12]Maana zingine kwa sie tusiojua saa zingine ni za kuharibu hali ya hewa bila kutarajia
Kwa wahindi wao wanasema inasaidia kuubana uke.
Kwa wabongo watakua wanabana nini?[emoji13] [emoji125]
Mason rings Kwa juu utaona ni urembo ila kwa chini zimebeba siri kubwaNi ushororo tu hamna jingine.
Umeniacha hapo,naomba ufafanue zaidi.Mason rings Kwa juu utaona ni urembo ila kwa chini zimebeba siri kubwa![]()
DUUH HAYAniliambiwaga na dada m1 kuwa inamaana kama huna pesa usmfuate ana wenyewe!!!!!! ila ata sion km ina mantik yoyote.
Kama zipi kwa mfano?Urembo wa kawaida lakini pia kuna wakati kuna siri nyuma yakeView attachment 357544
Mambo ya kishirikina na kiimaniKama zipi kwa mfano?
Duuh so ukimsogelea tu tayari unapigwa limbwata la nguvu hahahahaha! Duniani kuna mambo, kuna watu wa jamaii ya Indonesia porini kule kuna tatoo ukiichora unapata nguvu ya kumvuta mwanamke yeyote unayemtaka na nguvu ya kutwanga inaongezeka....aiseeeeMambo ya kishirikina na kiimani
Duu dunia ya leo wala huhitaji ndeleDuuh so ukimsogelea tu tayari unapigwa limbwata la nguvu hahahahaha! Duniani kuna mambo, kuna watu wa jamaii ya Indonesia porini kule kuna tatoo ukiichora unapata nguvu ya kumvuta mwanamke yeyote unayemtaka na nguvu ya kutwanga inaongezeka....aiseeee
NnyaKwa wabongo watakua wanabana nini?[emoji13] [emoji125]
Sasa huyo mama atakuwa anajua maana yake...Kuna dadayangu mtoto wa mama mkubwa alikuwa anapenda kuvaa hivyo ila mama yangu alikuwa anamkemea kila alipo vaa na mara ingine akivikuta chumban alikuwa anavichukua .sikuwa naelewa maanayake na sikujua kwann mama alikuwa mkali wakati ule.
Japo bado sielew