Pete kwenye vidole vya miguu ni pambo ama ni ujumbe?

Pete kwenye vidole vya miguu ni pambo ama ni ujumbe?

Mimi napata hisia nyingine kabisa, ukimuuliza bei gani atakujibu kisayansi, wengi wao wako hivyo!
 
Vile vinaning'inia kama k.amasi
6fc7c33fa325d8be5241dd1f779062f0.jpg
 
Ni mapambo tuu mpaka ivaliwe kwa maana maalum
d9aabeedb6a156ccf3283d6e3078b083.jpg
huu ni urembo wa kawaida
44ef4f9decba2672f2bbf208c9eef6ce.jpg
Hii ni alama ya satanism huyo kavaa serpent, nyoka wa eden
Maana zingine kwa sie tusiojua saa zingine ni za kuharibu hali ya hewa bila kutarajia
 
Urembo wa kawaida lakini pia kuna wakati kuna siri nyuma yake
1466236362635.jpg
 
Mambo ya kishirikina na kiimani
Duuh so ukimsogelea tu tayari unapigwa limbwata la nguvu hahahahaha! Duniani kuna mambo, kuna watu wa jamaii ya Indonesia porini kule kuna tatoo ukiichora unapata nguvu ya kumvuta mwanamke yeyote unayemtaka na nguvu ya kutwanga inaongezeka....aiseeee
 
Kuna dadayangu mtoto wa mama mkubwa alikuwa anapenda kuvaa hivyo ila mama yangu alikuwa anamkemea kila alipo vaa na mara ingine akivikuta chumban alikuwa anavichukua .sikuwa naelewa maanayake na sikujua kwann mama alikuwa mkali wakati ule.

Japo bado sielew
 
Duuh so ukimsogelea tu tayari unapigwa limbwata la nguvu hahahahaha! Duniani kuna mambo, kuna watu wa jamaii ya Indonesia porini kule kuna tatoo ukiichora unapata nguvu ya kumvuta mwanamke yeyote unayemtaka na nguvu ya kutwanga inaongezeka....aiseeee
Duu dunia ya leo wala huhitaji ndele
 
Kuna dadayangu mtoto wa mama mkubwa alikuwa anapenda kuvaa hivyo ila mama yangu alikuwa anamkemea kila alipo vaa na mara ingine akivikuta chumban alikuwa anavichukua .sikuwa naelewa maanayake na sikujua kwann mama alikuwa mkali wakati ule.

Japo bado sielew
Sasa huyo mama atakuwa anajua maana yake...
 
Back
Top Bottom