Pete ya dhahabu inauzwa shilingi ngapi?

Pete ya dhahabu inauzwa shilingi ngapi?

Assume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜. Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nami natamani sana kujua bei, nataka mwakani ninunue pete kali
 
Assume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mi ninazo Pete za majini zinaongeza bahati, zinasafisha nyota, zinaleta utajiri, nguvu za kiume, mivuto, yaani kila kitu kinanyooka chenyewe TU, hainaga makafara
 
Assume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo [emoji16][emoji16].

Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? [emoji23][emoji23]
Ya gram ngapi
 
Assume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo [emoji16][emoji16].

Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? [emoji23][emoji23]
Kila sk asubuhi haya maneno naambiwa na wanawake zaid ya wa5 sasa ww huyo mmoja tu ushaanza kuulizia na Bei ya Pete
 
Ay
Mi ninazo Pete za majini zinaongeza bahati, zinasafisha nyota, zinaleta utajiri, nguvu za kiume, mivuto, yaani kila kitu kinanyooka chenyewe TU, hainaga makafara
aaaaaaaaaaaa kimeumana,,,,,,Pete za majini tena.?
 
Back
Top Bottom