Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami natamani sana kujua bei, nataka mwakani ninunue pete kaliAssume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo ๐๐. Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? ๐๐
Mi ninazo Pete za majini zinaongeza bahati, zinasafisha nyota, zinaleta utajiri, nguvu za kiume, mivuto, yaani kila kitu kinanyooka chenyewe TU, hainaga makafaraAssume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo ๐๐.
Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? ๐๐
Pete za majin umezitoa wapi๐Mi ninazo Pete za majini zinaongeza bahati, zinasafisha nyota, zinaleta utajiri, nguvu za kiume, mivuto, yaani kila kitu kinanyooka chenyewe TU, hainaga makafara
Majini yananileteapete za majin umezitoa wapi๐
Duh.... Kimtokacho mtu ndicho kilichoujaa moyo wakeMtaachana tu
Aisee [emoji23]Mtaachana tu
Ya gram ngapiAssume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo [emoji16][emoji16].
Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? [emoji23][emoji23]
RelaxDuh.... Kimtokacho mtu ndicho kilichoujaa moyo wake
Kila sk asubuhi haya maneno naambiwa na wanawake zaid ya wa5 sasa ww huyo mmoja tu ushaanza kuulizia na Bei ya PeteAssume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo [emoji16][emoji16].
Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? [emoji23][emoji23]
Maskini mtoa mada limbwata lishakoleaKila sk asubuhi haya maneno naambiwa na wanawake zaid ya wa5 sasa ww huyo mmoja tu ushaanza kuulizia na Bei ya Pete
Hii Ndiyo JamiiForumsMtaachana tu