Pete ya uchumba!

Pete ya uchumba!

hahahahaahh umenichekesha sana! Kuna mdada mmoja alimnunulia mpenzi wake chupi nzuri sana za kwenye sale za Calvin Klein kama 10 hivi. Ila shida zote zilikuwa za rangi moja. Jamaa akamshukuru sana ila mpenzi mbona zote zinafanana? Sasa si watasema nina chupi moja tu? Mdada akamuuliza akina nani hao? Jamaa hakuwa na Jibu. Inabidi niwe mpole tu sasa nitachora jina lako kwenye paja langu.

Rev umekamatwa vizuri sana LOL! sasa hata kwenye paja kwani wakati unavaa zile nguo zenu takatifu Marev wenzio hawawezi kuiona picha ya mwanakondoo wako na wao kukuuliza kulikoni mwenzetu na hii picha kwenye paja?

 
Hahahahahaha Hao mapacha kama wakiwa majaliwa basi naomba niwe God Father wao.

Ahh mi tayari nshakua familia hivyo BAK!! Hahahahaha unataka kua baba wa ubatizo sio?Ngoja niongee na mchungaji..sidhani kama atakua na kipingamizi...hata U-best man ntamwambia akufikirie!
 
Rev umekamatwa vizuri sana LOL! sasa hata kwenye paja kwani wakati unavaa zile nguo zenu takatifu Marev wenzio hawawezi kuiona picha ya mwanakondoo wako na wao kukuuliza kulikoni mwenzetu na hii picha kwenye paja?

Uzuri wetu Marev hatuchunguliani! Sema Nikifa wataona hiyo picha!
 
Uzuri wetu Marev hatuchunguliani! Sema Nikifa wataona hiyo picha!

Haya Mkuu nasubiri dakika hapa kabla ya mchapo, I hope leo tutaweza kumsimamisha Drogba na manyanyaso yake.

 
Inabidi niwe mpole tu sasa nitachora jina lako kwenye paja langu.

Hahaha...hapo ndo nnapokupendea mchungaji...unarekebisha kosa kabla mambo hayaja haribika!!Kuhusu mapacha lets do it!BAK ameshaomba kuwa God Father...tutampa eh?
 
Hahaha...hapo ndo nnapokupendea mchungaji...unarekebisha kosa kabla mambo hayaja haribika!!Kuhusu mapacha lets do it!BAK ameshaomba kuwa God Father...tutampa eh?

Ngoja nifikirie huenda kuna kitu anavizia!
 
Mhmh hiyo Pete wanaume walio wengi huwa wanaamua tu kuipotezeea kwa huyu msichana ili kama tu kumtunzia heshima huyo sholi coz si unajua tena warembo wengi wanapenda kuvalishwa pete ili na wao waonekane. Sasa njemba ikimvua pete nadhani binti anaweza hata kunywa sumu li ajipotezee coz it is a big shame!

Ndio maana hata Rose 1980 amesema kama yeye atachapa lapa faster ili aibadilishe sura hiyo pete lakini bora tu awe nayo na sio vinginevyo!

NB: kwa kuwa kunakuwa hakuna mapenzi tena basi hiyo pete kisheria na taratibu za kiuchumba ni lazima msichana avuliwe ili awe na discipline kwa mwanaume mwingine ambaye atakuja kumtoa hiyo aibu ya kuvuliwa pete na hapo hatarudia mauza uza yake!!
 
Kwakuwa kuachana huambatana na Sononeko ni budi pete yake umrudishie kwani kama yeye ndo amekuacha itasababisha jinamizi lake likutawale wakati wote.
 
wanaotaka kusahau ya mchumba huyo wanarudisha, kwani mtu anadaiwa airudishe? kama mtu kachangia pesa wanunue basi ni kuuza na kugawana mapato.

ila wanawake wengi wanakaa nayo kama walimpenda mwanaume na wakaachwa kama kumbukumbu na ikiwa na diamond ni asset

kama unadaiwa rudisha, mie naona ni aibu kung'ang'ania pete ya uchumba uliyopewa na mwanaume kama mmeachana
 
wanaotaka kusahau ya mchumba huyo wanarudisha, kwani mtu anadaiwa airudishe? kama mtu kachangia pesa wanunue basi ni kuuza na kugawana mapato.

ila wanawake wengi wanakaa nayo kama walimpenda mwanaume na wakaachwa kama kumbukumbu na ikiwa na diamond ni asset

kama unadaiwa rudisha, mie naona ni aibu kung'ang'ania pete ya uchumba uliyopewa na mwanaume kama mmeachana
Hujawahi kusikia kikienda kwa mganga hakirudi??
 
Jahazi limezama Leo!

Hahahahahah pole sana Rev! ulijificha wapi Mkuu? Nilikutafuta jukwaa zima wakati mechi ikiendelea bila mafanikio. Nikadhani umetoa zile za BJ maana yeye huwa anakuwa mitaa ya jirani siku za mechi zile za kufa mtu, wakishinda anaibuka haraka sana hahahahahaha wakishindwa basi anasepa kimya kimya bila hata mguno.
 
Hahahahahah pole sana Rev! ulijificha wapi Mkuu? Nilikutafuta jukwaa zima wakati mechi ikiendelea bila mafanikio. Nikadhani umetoa zile za BJ maana yeye huwa anakuwa mitaa ya jirani siku za mechi zile za kufa mtu, wakishinda anaibuka haraka sana hahahahahaha wakishindwa basi anasepa kimya kimya bila hata mguno.

Mmhhh nilikuwa chemba na Lizzy!
 
Kati ya wewe na BAK nani kaumia??Blue wamelipua!

Kweli kabisa leo Blue wamelipua nasikia kocha wao karibu kibarua kitaota majani maana Mrusi hana imani naye tena.

 
Back
Top Bottom